Kusanyiko la Eneo la Mashahidi wa Yehova la 2025
Ijumaa
Programu ya Ijumaa inategemea Mathayo 4:10—“Yehova Mungu wako ndiye unayepaswa kumwabudu.”
Jumamosi
Programu ya Jumamosi inategemea Yohana 2:17—“Bidii kwa ajili ya nyumba yako itanila.”
Jumapili
Programu ya Jumapili inategemea Yohana 4:23—“Watamwabudu Baba kwa roho na kweli”
Habari kwa Wahudhuriaji
Habari zitakazowasaidia wahudhuriaji wa kusanyiko la eneo.
Huenda Ukapenda Pia
KUTUHUSU
Hudhuria Kusanyiko la Eneo la 2025—“Ibada Safi”
Tunakukaribisha kwa uchangamfu uhudhurie kusanyiko la eneo la siku tatu la mwaka huu litakalofanywa na Mashahidi wa Yehova.
MAKUSANYIKO
Unakaribishwa: Kusanyiko la Eneo la Mashahidi wa Yehova la 2025 la “Ibada Safi”
Yesu alifundisha nini kuhusu ibada ya kweli?
MAKUSANYIKO
Kionjo cha Drama ya Biblia: Habari Njema Kulingana na Yesu: Drama ya 2 na ya 3
Sasa akiwa mtu mzima, Yesu anaanza kuwakusanya wanafunzi wake. Hata hivyo, upinzani unaanza dhidi ya huduma yake.