Mkaribie Yehova
Mungu anakualika umkaribie. Kitabu hiki kitakuonyesha jinsi ambavyo Biblia inaweza kukusaidia kufanya hivyo.
Utangulizi
Unaweza kuwa na uhusiano wa karibu pamoja na Yehova ambao hauwezi kamwe kuvunjika.
SURA YA 1
“Tazama! Huyu Ndiye Mungu Wetu!”
Kwa nini Musa alimuuliza Mungu jina lake wakati tayari alikuwa analijua?
SURA YA 2
Je, Kweli Unaweza ‘Kumkaribia Mungu’?
Yehova Mungu, Muumba wa mbingu na dunia, anatualika tumkaribie.
SURA YA 3
“Mtakatifu, Mtakatifu, Mtakatifu Ni Yehova”
Kwa nini Biblia inahusianisha utakatifu na uzuri?
SEHEMU YA 1
“Nguvu . . . Zenye Kuogopesha”
SURA YA 4
“Yehova . . . Ana Nguvu Nyingi”
Je, tunapaswa kumwogopa Mungu kwa sababu ya nguvu zake? Tunaweza kujibu swali hilo ndiyo na hapana.
SURA YA 5
Nguvu za Kuumba—“Muumba wa Mbingu na Dunia”
Kuanzia jua lililo kubwa sana mpaka ndege mvumaji, uumbaji wa Mungu unaweza kutufundisha jambo muhimu kumhusu.
SURA YA 6
Nguvu za Kuangamiza—“Yehova Ni Shujaa Mwenye Nguvu”
Ni kwa njia gani “Mungu wa amani” hupigana vita?
SURA YA 7
Nguvu za Kulinda—“Mungu ni Kimbilio Letu”
Mungu anawalinda watumishi wake kupitia njia mbili, lakini njia moja ni muhimu zaidi.
SURA YA 8
Uwezo wa Kurudisha Hali Nzuri—Yehova ‘Anafanya Vitu Vyote Kuwa Vipya’
Tayari Yehova ameirudisha ibada safi. Atarudisha nini wakati ujao?
SURA YA 9
“Kristo Ni Nguvu za Mungu”
Miujiza na mafundisho ya Yesu Kristo yanaonyesha nini kumhusu Yehova?
SURA YA 10
“Iweni Waigaji wa Mungu” Mnapotumia Mamlaka
Una uwezo mkubwa kuliko unavyofikiri. Unawezaje kuutumia kwa njia inayofaa?
SEHEMU YA 2
“Yehova Anapenda Haki”
SURA YA 12
“Je, Mungu Ana Ukosefu wa Haki?”
Ikiwa Yehova anachukia ukosefu wa haki, kwa nini kuna ukosefu wa haki duniani leo?
SURA YA 14
Yehova Afanya Mipango Ili “Fidia Badala ya Wengi” Itolewe
Fundisho hili rahisi na lililo na maana linaweza kukusaidia umkaribie Mungu.
SURA YA 15
Yesu ‘Aimarisha Haki Duniani’
Yesu alitendaje kwa haki wakati uliopita? Anafanyaje hivyo leo? Na ataimarishaje haki wakati ujao?
SURA YA 16
‘Tekeleza Haki’ Unapotembea na Mungu
Haki inahusisha maoni yetu kuhusu mema na mabaya na jinsi tunavyowatendea wengine.
SEHEMU YA 3
“Mwenye Hekima Moyoni”
SURA YA 17
“Lo! Jinsi kilivyo kina cha . . . Hekima ya Mungu!”
Kwa nini hekima ya Mungu ni bora kuliko ujuzi, uelewaji, na utambuzi wake?
SURA YA 18
Hekima ya “Neno la Mungu”
Kwa nini Mungu aliwatumia wanadamu kuandika mawazo yake katika kitabu, na kwa nini baadhi ya mambo yanazungumziwa na mengine hayazungumziwi katika kitabu hicho?
SURA YA 19
“Hekima ya Mungu katika Siri Takatifu”
Ni siri gani takatifu ambayo Mungu ameifunua hatua kwa hatua?
SURA YA 20
“Mwenye Hekima Moyoni”—Lakini Mnyenyekevu
Bwana Mwenye Enzi Kuu ya ulimwengu wote mzima anawezaje kuwa mnyenyekevu?
SURA YA 21
Yesu Afunua “Hekima Kutoka kwa Mungu”
Mafundisho ya Yesu yalikuwa yenye kuvutia sana hivi kwamba katika pindi moja maofisa waliotumwa ili kumkamata walirudi mikono mitupu!
SURA YA 22
Je, “Hekima Inayotoka Juu” Inafanya Kazi Maishani Mwako?
Biblia ina njia nne za kukusaidia kukuza hekima ya kimungu.
SEHEMU YA 4
“Mungu Ni Upendo”
SURA YA 24
Hakuna Kinachoweza “Kututenga na Upendo wa Mungu”
Kataa uwongo wa kwamba hupendwi au kuthaminiwa na Mungu.
SURA YA 25
“Huruma Nyororo za Mungu Wetu”
Huruma ya Mungu kukuelekea inafanana jinsi gani na ile ya mama kumwelekea mtoto wake?
SURA YA 26
Mungu Aliye “Tayari Kusamehe”
Ikiwa Mungu ana kumbukumbu kamilifu, anawezaje kusamehe na kusahau?
SURA YA 28
“Wewe Peke Yako ni Mshikamanifu”
Kwa nini ushikamanifu wa Mungu ni bora kuliko uaminifu wake?
SURA 30
“Endeleeni Kutembea katika Upendo”
Wakorintho ya kwanza inazungumzia njia mbalimbali za kuonyesha upendo.
SURA YA 31
“Mkaribieni Mungu, Naye Atawakaribia Ninyi”
Huenda ni swali gani muhimu zaidi unaloweza kujiuliza? Ungejibuje?

