SEHEMU YA 2
“Yehova Anapenda Haki”
Mungu hulaumiwa isivyofaa kwa sababu ya ukosefu wa haki ulioenea ulimwenguni leo. Lakini Biblia inafundisha ukweli unaotia moyo, yaani, “Yehova anapenda haki.” (Zaburi 37:28) Katika sehemu hii tutajifunza jinsi ambavyo ametenda kulingana na maneno hayo na kuwapa wanadamu wote tumaini.
KATIKA SEHEMU HII
SURA YA 12
“Je, Mungu Ana Ukosefu wa Haki?”
Ikiwa Yehova anachukia ukosefu wa haki, kwa nini kuna ukosefu wa haki duniani leo?
SURA YA 14
Yehova Afanya Mipango Ili “Fidia Badala ya Wengi” Itolewe
Fundisho hili rahisi na lililo na maana linaweza kukusaidia umkaribie Mungu.
SURA YA 15
Yesu ‘Aimarisha Haki Duniani’
Yesu alitendaje kwa haki wakati uliopita? Anafanyaje hivyo leo? Na ataimarishaje haki wakati ujao?
SURA YA 16
‘Tekeleza Haki’ Unapotembea na Mungu
Haki inahusisha maoni yetu kuhusu mema na mabaya na jinsi tunavyowatendea wengine.

