Kiswahili
“Yehova Anapenda Haki”
https://cms-imgp.jw-cdn.org/img/p/1102002033/univ/art/1102002033_univ_sqr_xl.jpg
cl uku. 128

SEHEMU YA 2

“Yehova Anapenda Haki”

“Yehova Anapenda Haki”

Mungu hulaumiwa isivyofaa kwa sababu ya ukosefu wa haki ulioenea ulimwenguni leo. Lakini Biblia inafundisha ukweli unaotia moyo, yaani, “Yehova anapenda haki.” (Zaburi 37:28) Katika sehemu hii tutajifunza jinsi ambavyo ametenda kulingana na maneno hayo na kuwapa wanadamu wote tumaini.

KATIKA SEHEMU HII

SURA YA 11

“Njia Zake Zote Ni Haki”

Kwa nini sifa ya Mungu ya haki ni yenye kupendeza sana?

SURA YA 12

“Je, Mungu Ana Ukosefu wa Haki?”

Ikiwa Yehova anachukia ukosefu wa haki, kwa nini kuna ukosefu wa haki duniani leo?

SURA YA 13

“Sheria ya Yehova Ni Kamilifu”

Mfumo wa sheria unawezaje kuchochea upendo?

SURA YA 14

Yehova Afanya Mipango Ili “Fidia Badala ya Wengi” Itolewe

Fundisho hili rahisi na lililo na maana linaweza kukusaidia umkaribie Mungu.

SURA YA 15

Yesu ‘Aimarisha Haki Duniani’

Yesu alitendaje kwa haki wakati uliopita? Anafanyaje hivyo leo? Na ataimarishaje haki wakati ujao?

SURA YA 16

‘Tekeleza Haki’ Unapotembea na Mungu

Haki inahusisha maoni yetu kuhusu mema na mabaya na jinsi tunavyowatendea wengine.