Je, tunaweza kuishi milele?
“Waadilifu wataimiliki dunia, nao wataishi humo milele.”—Zaburi 37:29.
Biblia inaonyesha kwamba wakati ujao
-
Kila mtu atakuwa na afya kamilifu.—Isaya 33:24; 35:5, 6.
-
Mazingira yatakuwa bora na dunia itakuwa paradiso.—Isaya 35:1, 2; Ufunuo 11:18.
Ili ujifunze mengi zaidi, tembelea tovuti ya jw.org/sw

