Mungu “atafuta kila chozi kutoka katika macho yao, na kifo hakitakuwapo tena, wala maombolezo wala kilio wala maumivu hayatakuwapo tena.”—Ufunuo 21:4.
Biblia inatuhakikishia kwamba
-
Mungu hasababishi matatizo yanayotupata.—Yakobo 1:13.
-
Mungu anatujali, anaona mambo tunayopitia, na atatukomboa kutoka katika taabu zetu zote.—Zaburi 34:17-19.
Ili ujifunze mengi zaidi, tembelea tovuti ya jw.org/sw

