Je, inawezekana kuishi bila maumivu au huzuni?

Je, Inawezekana Kuishi Bila Maumivu au Huzuni?

Kiswahili
Je, Inawezekana Kuishi Bila Maumivu au Huzuni?
https://cms-imgp.jw-cdn.org/img/p/1102024313/afrn/art/1102024313_afrn_sqr_xl.jpg
T-sfr kur. 1-2

Je, inawezekana kuishi bila maumivu au huzuni?

Je, inawezekana kuishi bila maumivu au huzuni?

Mungu “atafuta kila chozi kutoka katika macho yao, na kifo hakitakuwapo tena, wala maombolezo wala kilio wala maumivu hayatakuwapo tena.”Ufunuo 21:4.

Biblia inatuhakikishia kwamba

  • Mungu hasababishi matatizo yanayotupata.Yakobo 1:13.

  • Mungu anatujali, anaona mambo tunayopitia, na atatukomboa kutoka katika taabu zetu zote.Zaburi 34:​17-19.

Ili ujifunze mengi zaidi, tembelea tovuti ya jw.org/sw