Je, Mungu hukubali dini zote?
“Si kila mtu anayeniambia, ‘Bwana, Bwana,’ atakayeingia katika Ufalme wa mbinguni, bali yule anayefanya mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni ndiye atakayeingia.”—Mathayo 7:21.
Biblia inaonyesha kwamba
-
Si kila dini inayompendeza Mungu.—Mathayo 7:14, 21-23; Marko 7:6-8.
-
Wakristo wa kweli ni wenye amani na wanapendana.—Mika 4:3; Yohana 13:35.
Ili ujifunze mengi zaidi, tembelea tovuti ya jw.org/sw

