MNARA WA MLINZI Julai 2014 | Kwa Nini Watu Wazuri Hupatwa na Mambo Mabaya?

Je, Mungu ndiye anayesababisha? Je, ni ubaya wa mtu? Je, kuna njia ya kuepuka uovu na kuteseka?

HABARI KUU

Mambo Mabaya Yameenea Kote!

Ikiwa kuna Mungu mweza-yote, kwa nini hawalindi watu wazuri wasipatwe na mabaya?

HABARI KUU

Kwa Nini Watu Wazuri Hupatwa na Mambo Mabaya?

Biblia inafunua mambo matatu yanayowasababishia wanadamu mateso.

HABARI KUU

Mungu Atafanya Nini ili Kuondoa Mambo Mabaya

Je, ungependa kuishi katika ulimwengu ambao watu wazuri hawatapatwa na mambo mabaya?

BIBLIA HUBADILI MAISHA

Nilitembea na Bunduki Kila Wakati

Annunziato Lugarà alikuwa mshiriki wa genge hatari, lakini alibadili maisha yake baada ya kuhudhuria mikutano kwenye Jumba la Ufalme.

Unawezaje Kuwatia Nidhamu Watoto Wako?

Biblia inataja mambo matatu yanayohitajiwa ili kutoa nidhamu inayofaa.

Je, Wajua?

Mafundi wa meli zamani walitumia nini kuzuia maji yasiingie ndani ya mali? Ni njia gani zilizotumiwa kuhifadhi samaki zamani?

Je, Unaweza Kumwona Mungu Asiyeonekana?

Jifunze kutumia ‘macho ya moyo wako.’

Majibu ya Maswali ya Biblia

Je, sala ni njia ya kuomba tu msaada?