MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Machi 2013

Toleo hili linawakumbusha Wakristo wote jinsi ya kubaki katika shindano la mbio za uzima. Na linatusaidia kuielewa mioyo yetu na kumjua Mungu wetu, Yehova.

“Hakuna Kitu cha Kuwakwaza” Wale Wanaompenda Yehova

Ni katika maana gani hakuna kitu cha kuwakwaza wale wanaompenda Yehova? Jifunze.jambo linaloweza kutusaidia kubaki katika shindano la uzima.

Je, Una ‘Moyo wa Kumjua’ Yehova?

Maneno ya nabii Yeremia yanaweza kutusaidia kupata na kudumisha moyo wenye afya wa mfano.

Kwa Kuwa ‘Umemjua Mungu,’ Ufanye Nini Sasa?

Jifunze kwa nini ni muhimu kuchunguza kwa ukawaida imani na ujitoaji wako kwa Yehova Mungu.

Pata Faraja na Uwafariji Wengine

Wote wanakuwa wagonjwa, wengine hata wanashikwa na magonjwa mabaya sana. Tunapokabili matatizo kama hayo, tutakabilianaje nayo?

Yehova Ni Makao Yetu

Ingawa tunaishi katika ulimwengu mwovu, tunawezaje kuwa na hakika kwamba Yehova atawalinda watu wake?

Liheshimu Jina Kuu la Yehova

Unalionaje pendeleo la kutumia jina la Yehova? Ni nini maana ya kulijua jina la Mungu na kutembea katika jina hilo?

Je, Kweli Yosefo Ndiye Aliyekiandika?

Je, mwanahistoria Myahudi Flavio Yosefo aliandika fungu la maneno linalojulikana kuwa Testimonium Flavianum?

Usivunjike Moyo Kamwe!

Hupaswi kamwe kuvunjika moyo na kufikiri kwamba mwishowe mtu fulani hatakubali kweli. Soma kuhusu watu fulani waliofanya hivyo na kwa nini.