KAMPENI YA PEKEE Na. 1 2025 | Mwisho wa Vita—Jinsi Gani?
Je, unatamani kuishi katika ulimwengu usiokuwa na vita au ukatili? Watu wengi wanafikiri kwamba jambo hilo ni zuri, lakini lisilowezekana. Biblia inaeleza kwa nini jitihada za wanadamu za kukomesha vita hazifanikiwi. Pia, inaeleza sababu zinazotusaidia kuwa na uhakika kwamba inawezekana kuwa na amani ulimwenguni pote na hilo litatokea hivi karibuni.
Katika gazeti hili, maneno “vitaʺ na “ukatiliʺ yanarejelea mapigano kati ya vikundi vilivyo na silaha ili kutatua mizozo ya kisiasa. Majina ya baadhi ya watu walionukuliwa yamebadilishwa.
Madhara ya Vita
Wanajeshi na raia wanajua matokeo mabaya yanayosababishwa na vita.
Jinsi Vita na Ukatili Vinavyotuathiri Sisi Sote
Vita na ukatili husababisha uharibifu na gharama. Fikiria mifano kadhaa.
Je, Tunaweza Kukomesha Vita na Ukatili?
Ingawa jitihada za kukomesha ukatili zinaendelea, je, tunaweza kutarajia kwamba jitihada hizo zitafanikiwa?
Kwa Nini Vita na Ukatili Vinaendelea?
Biblia inafunua chanzo kikuu cha vita na ukatili.
Jinsi Vita na Ukatili Vitakavyoisha
Ufalme wa Mungu utakomesha vita na kuleta amani ya kweli duniani.
Kutafuta Amani Licha ya Vita na Ukatili
Biblia inawasaidia wale walioathiriwa na vita katika njia hususa.
Je, Umewahi Kujiuliza?
Je, kutakuwa na wakati ambapo hakutakuwa na vita tena? Biblia inatoa jibu lenye kufariji kuhusu swali hilo na pia kuhusu maswali mengine katika habari hii.