AMKENI! Desemba 2014 | Mambo Unayopaswa Kujua Kuhusu Magonjwa ya Akili
Magonjwa ya akili yanaweza kumfanya mtu ashindwe kabisa kutimiza majukumu yake maishani, hata hivyo watu wengi wanaougua magonjwa hayo hawapati matibabu. Kwa nini?
HABARI KUU
Mambo Unayopaswa Kujua Kuhusu Magonjwa ya Akili
Mambo tisa yatakayokusaidia ufanikiwe kushughulika na magonjwa ya akili.
Kuutazama Ulimwengu
Habari zinatia ndani: mnyama aliyeishi muda mrefu zaidi, ziwa maarufu linalokaribia kukauka, na mwezi ambao watu wengi hupatwa na mshtuko wa moyo.
KUTOKA KWA WASOMAJI WETU
Jinsi ya Kufikia Makubaliano
Mambo manne muhimu yatakayokusaidia wewe na mwenzi wako wa ndoa mwepuke kubishana na mtafute suluhisho pamoja.
Mwili Mdogo—Macho Makubwa!
Jicho lake moja tu ni kubwa kuliko ubongo wake!
MAHOJIANO
Profesa wa Uhasibu Anaeleza kwa Nini Anamwamini Mungu
Profesa Stephen Taylor anaamini kwamba kujifunza Biblia ndiyo akiba bora zaidi aliyowahi kujiwekea.
Fahirisi ya Mwaka wa 2014 Amkeni!
Orodha ya makala zilizochapishwa mwaka 2014.