MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Juni 2025

Toleo hili lina makala za funzo za Agosti 18–​Septemba 14, 2025.

MAKALA YA 24

Mambo Tunayojifunza Kutokana na Unabii wa Yakobo​—⁠Sehemu ya 1

Tutajifunza makala hii katika juma la Agosti 18-24, 2025.

MAKALA YA 25

Mambo Tunayojifunza Kutokana na Unabii wa Yakobo​—⁠Sehemu ya 2

Tutajifunza makala hii katika juma la Agosti 25-31, 2025.

MAKALA YA 26

Uwe Mwenye Kiasi Inapohusu Mambo Usiyoyajua

Tutajifunza makala hii katika juma la Septemba 1-7, 2025.

MAKALA YA 27

Wasaidie Wanafunzi wa Biblia Wachukue Msimamo Upande wa Kweli

Tutajifunza makala hii katika juma la Septemba 8-14, 2025.

SIMULIZI LA MAISHA

Tumejifunza Kutoka kwa Mfundishaji Wetu Mkuu Maisha Yetu Yote

Franco Dagostini amepokea migawo mingi, amejifunza kuishi kulingana na tamaduni mbalimbali, na kujifunza lugha nyingi mpya. Anatueleza baadhi ya masomo muhimu aliyojifunza kutoka kwa Mfundishaji Mkuu, Yehova.

DOKEZO LA KUJIFUNZA

Jinsi ya Kukumbuka Maandiko

Fikiria mapendekezo matatu yatakayokusaidia kukumbuka maandiko.