MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Juni 2025
Toleo hili lina makala za funzo za Agosti 18–Septemba 14, 2025.
MAKALA YA 24
Mambo Tunayojifunza Kutokana na Unabii wa Yakobo—Sehemu ya 1
Tutajifunza makala hii katika juma la Agosti 18-24, 2025.
MAKALA YA 25
Mambo Tunayojifunza Kutokana na Unabii wa Yakobo—Sehemu ya 2
Tutajifunza makala hii katika juma la Agosti 25-31, 2025.
MAKALA YA 26
Uwe Mwenye Kiasi Inapohusu Mambo Usiyoyajua
Tutajifunza makala hii katika juma la Septemba 1-7, 2025.
MAKALA YA 27
Wasaidie Wanafunzi wa Biblia Wachukue Msimamo Upande wa Kweli
Tutajifunza makala hii katika juma la Septemba 8-14, 2025.
SIMULIZI LA MAISHA
Tumejifunza Kutoka kwa Mfundishaji Wetu Mkuu Maisha Yetu Yote
Franco Dagostini amepokea migawo mingi, amejifunza kuishi kulingana na tamaduni mbalimbali, na kujifunza lugha nyingi mpya. Anatueleza baadhi ya masomo muhimu aliyojifunza kutoka kwa Mfundishaji Mkuu, Yehova.
DOKEZO LA KUJIFUNZA
Jinsi ya Kukumbuka Maandiko
Fikiria mapendekezo matatu yatakayokusaidia kukumbuka maandiko.

