MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Julai 2025

Toleo hili lina makala za funzo za Septemba 15–​Oktoba 12, 2025.

MAKALA YA 28

Kwa Nini Tunahitaji Kutafuta Ushauri?

Tutajifunza makala hii katika juma la Septemba 15-21, 2025.

MAKALA YA 29

Jinsi ya Kutoa Ushauri

Tutajifunza makala hii katika juma la Septemba 22-28, 2025.

MAKALA YA 30

Je, Bado Unaweza Kujifunza Kutokana na Mafundisho ya Msingi ya Biblia?

Tutajifunza makala hii katika juma la Septemba 29–​Oktoba 5, 2025.

MAKALA YA 31

Je, ‘Umejifunza Siri’ ya Kuridhika?

Tutajifunza makala hii katika juma la Oktoba 6-12, 2025.

SIMULIZI LA MAISHA

“Vita ni Vya Yehova”

Kwa zaidi ya miaka 40, Philip Brumley ametumikia katika Idara ya Sheria ya makao makuu. Amekuwa na pendeleo la kufanya kazi za kisheria na ofisi za tawi ulimwenguni pote, kwenda katika mahakama kuu, na kuzungumza na maofisa wengi wenye mamlaka. Anasimulia jinsi mambo aliyojionea yalivyomthibitishia kwamba nguvu na ushindi unatoka kwa Yehova.

Je, Wajua?

Katika karne ya kwanza, makuhani katika hekalu walifanya nini na damu ya wanyama waliotolewa dhabihu?

DOKEZO LA KUJIFUNZA

Jifunze Ukiwa na Lengo la Kushiriki na Wengine Mambo Uliyojifunza

Kushiriki na wengine mambo tuliyojifunza, kunaweza kutusaidia kukumbuka mambo tuliyojifunza na kuongeza kina cha uelewaji wetu.