Siku ya Yenga
“Yenye furaha ni macho yenu kwa sababu inaona na masikio yenu kwa sababu inasikia”—Matayo 13:16
Asubui
-
3:20 (9:20) Video ya Muziki
-
3:30 (9:30) Wimbo Na. 68 na Sala
-
3:40 (9:40) HOTUBA YENYE SEHEMU TANO: Tumikisha Somo za mu Mifano ya Yesu
-
• Aina ine ya Udongo (Matayo 13:18-23)
-
• Ngano na Magugu (Matayo 13:24-30)
-
• Mbegu ya Haradali (Matayo 13:31, 32)
-
• Chachu (Matayo 13:33)
-
• Wavu (Matayo 13:47-50)
-
-
5:00 (11:00) Wimbo Na. 64 na Matangazo
-
5:10 (11:10) HOTUBA YA BATU YOTE: Umepata Hazina!—Sasa Uko Nafanya Nayo Nini? (Matayo 13:44-46)
-
5:40 (11:40) Kifupi ya Munara wa Mulinzi
-
6:10 (12:10) Wimbo Na. 140 na Mapumuziko
Kisha Midi
-
7:35 (13:35) Video ya Muziki
-
7:45 (13:45) Wimbo Na. 108
-
7:50 (13:50) DRAMA:
Habari Njema Juu ya Yesu: Epizode ya 6
“Weye Njo Ule Mwenye Anakuya?” (Matayo 8:5-13; 11:2-30; 12:22–13:53; Marko 3:19–4:34; Luka 7:1–8:21)
-
8:35 (14:35) Wimbo Na. 120 na Matangazo
-
8:45 (14:45) Umejifunza Nini?
-
8:55 (14:55) “Yenye Furaha Ni Macho Yenu Kwa Sababu Yanaona” (Matayo 7:1-5; 13:16, 17; Luka 6:46-49; 10:21; Yohana 17:6; Yakobo 1:22-25)
-
9:45 (15:45) Wimbo Na. 163 na Sala ya Mwisho

