Ona video zinazopatikana

Ndoa

Siri ya Kuwa na Furaha

Mumutegemee Mungu ili Ndoa Yenu Iwe na Furaha

Kufikiria maulizo mawili yaliyo rahisi kunaweza kukusaidia ufanye ndoa yako iwe muzuri zaidi.

Unaweza Kufanya Nini ili Ndoa Yako Iwe Yenye Furaha?

Shauri la Biblia juu ya kufanya ndoa iwe yenye furaha lina matokeo mazuri kwa sababu linatoka kwa Yule aliyeanzisha ndoa, Yehova Mungu.

Hekima Yenye Inaweza Kutuletea Furaha mu Familia

Bwana, bibi, wazazi, na watoto, wanaweza kufanya nini juu mu familia mukuwe furaha?

Familia Yenye Furaha​—Kutumika Pamoja

Katika ndoa yenu, muko kabisa kama bibi na bwana ao kama watu wenye kuishi katika chumba kimoja?

Namna ya Kuonyesha Heshima

Heshima katika ndoa haiko jambo lenye unaweza kuonyesha wakati fulani; ni jambo la lazima. Namna gani unaweza kuonyesha kama unaheshimia bibi ao bwana yako?

Namna ya Kuonyesha Shukrani

Wakati bibi ao bwana anajikaza kuona sifa za muzuri za mwenzake na kumuonyesha shukrani, mara nyingi uhusiano wao unakuwa muzuri zaidi. Ni nini inaweza kukusaidia kukomalisha sifa ya kuonyesha shukrani?

Namna ya Kutia Nguvu Mapatano ya Ndoa

Mapatano ni kama kamba yenye kufungia mutu katika ndoa ao kama nanga ya kufanya ndoa yako isitikisike?

Uwe Mwaminifu-mushikamanifu kwa Mwenzako

Zaidi ya kuepuka uzinifu katika ndoa, kuna mambo mengine ya kutendea bibi ao bwana yako ili kuwa mwaminifu kwake?

Kufanya Ndoa ya Pili Iwe na Matokeo Mazuri

Ndoa ya pili inaweza kuleta matatizo ambayo hayakuwa hata kidogo katika ndoa ya kwanza. Bwana na bibi wanaweza kufanya namna gani ili kupata matokeo mazuri?

Bwana—Mufanye Nyumba Zenu Kuwa Mahali Salama

Familia inaweza kuwa na feza nyingi, lakini ikose usalama katika njia ya maana zaidi.

Njia ya Maisha Yenye Furaha​—Upendo

Kuonyesha na kuonyeshwa upendo ni jambo la maana sana ili kuwa na furaha.

Mambo Biblia Inasema

Biblia Inasema Nini Kuhusu Ndoa Kati ya Watu wa Rangi Mbalimbali?

Jifunze kanuni za Biblia zinazozungumuzia ndoa na zinazoonyesha kwamba watu wa rangi zote wako sawa.

Je, Ndoa Ni Muungano Tu wa Watu Wawili?

Jifunze namna Mungu amemupatia mwanaume na mwanamuke madaraka katika ndoa inavyoweza kuwasaidia wawe na mafanikio na furaha.

Magumu na Namna ya Kuimaliza

Ukuwe na Mawazo ya Muzuri Juu ya Tabia Zenye Kukasirisha za Bibi ao Bwana Yako

Kuliko kuacha tabia fulani yenye kukasirisha ilete hali ya kutoelewana, ujikaze kuona mambo mu njia ingine.

Namna ya Kuacha Kazi “ku Kazi”

Mashauri tano yenye inaweza kukusaidia usiache kazi ivuruge ndoa yako.

Kushugulika na Wazazi Wakwe

Mashauri tatu yanaweza kukusaidia ili kufanya tatizo pamoja na wazazi wakwe lisilete shida katika ndoa.

Namna ya Kuishi kwa Amani na Watu wa Jamaa

Unaweza kuheshimu wazazi wako bila kuhatarisha ndoa yako.

Wakati Mawazo Inapingana

Namna gani bibi na bwana wanaweza kumaliza kukosa kuelewana na kuendelea kuwa na amani kati yao?

Kama Bibi ao Bwana Yako Anaangaliaka Pornografia

Bibi na bwana wanaweza kufanya nini ili kusaidiana juu ya kupiganisha utumwa wa kuangalia pornografia wa mumoja kati yao na ili kuanza kutumainiana tena mu ndoa yao?

Namna ya Kufanya Wakati Hamupatane

Umekwisha kujisikia kama wewe na bibi ao bwana yako hamupatane?

Namna ya Kuacha Kuweka Kinyongo

Je, kusamehe tendo la bibi ao bwana yako ambalo lilikuumiza kunamaanisha kupunguza uzito wake ao hata kufanya kama vile halikutendeka?

Familia Yenye Furaha​—Kusameheana

Ni nini inaweza kukusaidia usikazie uzaifu wa bibi ao bwana yako?

Wakati Watoto Hawako Tena Nyumbani

Bibi na bwana fulani wanapambana na magumu wakati watoto wao wanakomaa na kuondoka nyumbani. Wazazi wanaweza kufanya nini wakati watoto hawako tena nyumbani?

Wakati Musiba Unatokea

Tafuta musaada unaohitaji.

Wakati Urafiki Unakuwa wa Nguvu Sana

Je, unajiambia, ‘Sisi ni marafiki tu?’ Ikiwa ni hivyo, chunguza kanuni za Biblia ili kuona ikiwa namna hiyo ya kufikiri ni yenye kufaa.

Kuachana na Kuvunja Ndoa

Je, Maisha Iko na Maana Wakati Bibi ao Bwana Anakosa Uaminifu?

Bibi na bwana wengi wenye hawana kosa wamepata kitulizo katika maandiko.

Kuendelea na Maisha Kisha Kuvunjika Ndoa

Karibu watu wote wanaovunja ndoa wanatambua kwamba maisha yanakuwa magumu kisha kuvunja ndoa tofauti na vile walikuwa wanatazamia. Mashauri mazuri ya Biblia yanaweza kukusaidia upambane vizuri.