MKARIBIE YEHOVA

“Mungu Ni Upendo”

Kiswahili
“Mungu Ni Upendo”
https://cms-imgp.jw-cdn.org/img/p/1102002047/univ/art/1102002047_univ_sqr_xl.jpg
cl uku. 275

SEHEMU YA 4

“Mungu Ni Upendo”

“Mungu Ni Upendo”

Upendo ndio sifa kuu zaidi ya Mungu. Pia, ndio sifa inayovutia zaidi. Tunapochunguza baadhi ya mambo yenye kupendeza ya sifa hii bora, tutaelewa kwa nini Biblia inasema kwamba “Mungu ni upendo.”​—1 Yohana 4:8.

KATIKA SEHEMU HII

SURA YA 23

“Alitupenda Kwanza”

Maneno “Mungu ni upendo” yanamaanisha nini?

SURA YA 24

Hakuna Kinachoweza “Kututenga na Upendo wa Mungu”

Kataa uwongo wa kwamba hupendwi au kuthaminiwa na Mungu.

SURA YA 25

“Huruma Nyororo za Mungu Wetu”

Huruma ya Mungu kukuelekea inafanana jinsi gani na ile ya mama kumwelekea mtoto wake?

SURA YA 26

Mungu Aliye “Tayari Kusamehe”

Ikiwa Mungu ana kumbukumbu kamilifu, anawezaje kusamehe na kusahau?

SURA YA 27

“Jinsi Wema Wake Ulivyo Mwingi!”

Wema wa Mungu ni nini hasa?

SURA YA 28

“Wewe Peke Yako ni Mshikamanifu”

Kwa nini ushikamanifu wa Mungu ni bora kuliko uaminifu wake?

SURA YA 29

“Kuujua Upendo wa Kristo”

Maeneo matatu ambayo upendo wa Yesu unafunua upendo wa Yehova.

SURA 30

“Endeleeni Kutembea katika Upendo”

Wakorintho ya kwanza inazungumzia njia mbalimbali za kuonyesha upendo.