2017— Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova

Soma kuhusu utendaji wa Mashahidi wa Yehova nchini Georgia na maeneo mengine duniani.

Barua Kutoka kwa Baraza Linaloongoza

Wanawashukuru na kuwatumia salamu za upendo Mashahidi wa Yehova duniani pote.

Kutanguliza Kazi ya Kuhubiri Ulimwenguni Pote

Wale ambao awali walitumikia Betheli wamefanya mabadiliko gani ili kukabiliana na hali mpya huko shambani?

“Ninyi Ni Majirani Bora Zaidi”

Mwisho juma wa Mei 7 na 8, 2016, maonyesho ya Biblia yalitoa ushahidi mzuri kwa majirani wa Betheli ya Brooklyn.

Mkutano Mpya wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo

Kuanzia Januari 2016, mabadiliko kwa ajili ya mkutano wa katikati ya juma yamefanywa ulimwenguni pote.

JW Broadcasting ‘Hutuimarisha na Kutuburudisha!’

JW Broadcasting ilianzishwa mwaka 2014 na sasa inapatikana katika lugha zaidi ya 90. Watazamaji wana maoni gani?

Kuwekwa Wakfu kwa Ofisi za Tawi

Tukio la kuweka wakfu kwa ofisi ya tawi ya Armenia na Kyrgyzstan lilikuwa ni pindi ya furaha kwa mashahidi katika nchi hizo.

Ripoti ya Mambo ya Sheria Mwaka wa 2016

Mashahidi walikabili mambo gani ya kisheria katika mwaka wa 2016?

Habari Fupi—Kutoka Sehemu Mbalimbali Ulimwenguni

Habari za karibuni kuhusu utendaji wa Mashahidi wa Yehova katika nchi ya Argentina, Belize, Burundi, Italia, Kongo (Kinshasa), Nepal, Papua New Guinea, Uganda, na Ujerumani.

Afrika

Soma mambo yaliyoonwa na matukio muhimu ya kazi ya kuwafundisha watu Biblia inayofanywa na Mashahidi wa Yehova nchini Ghana, Guinea-Bissau, Liberia, Malawi, Togo, na Sierra Leone.

Amerika

Mambo yaliyoonwa kutoka Brazili, Haiti, Mexico, Marekani, na Venezuela.

Asia na Mashariki ya Kati

Matukio muhimu kutoka Hong Kong, Mongolia, Filipino, na Sri Lanka.

Ulaya

Soma mambo yaliyoonwa kutoka Azerbaijan, Bulgaria, Georgia, Denmark, Hungaria, Norway, Uingereza, na Ukrainia.

Oceania

Matukio muhimu na mambo yaliyoonwa kutoka Australia, Guam, New Caledonia, Papua New Guinea, na Timor-Leste.

Maelezo Mafupi Kuhusu Georgia

Soma habari fupi kuhusu nchi, watu, tamaduni, na lugha ya pekee ya nchi hii iliyo karibu na Bahari Nyeusi.

Waliotafuta Kweli Zamani

Watu wenye uthamini waliojifunza kweli wakiwa maeneo mengine walikuja nchini Georgia na kuhubiri ujumbe wa Ufalme.

Mikutano Yawasaidia Wote Kukuza Imani

Mikutano ya Kikristo na machapisho ya Kigeorgia yaliwekaje msingi kwa ajili ya ukuzi uliofuata?

Nilitamani Sana Kubadili Maisha Yangu

Baada ya kumaliza utumishi wa kijeshi, Davit Samkharadze alisali apate msaada ili kuboresha maisha yake. Siku iliyofuata alikutana na Mashahidi wa Yehova.

Kutafuta Mwongozo wa Yehova

Tamazi Biblaia alitafuta na kupata msaada wa Mungu kabla ya kuhamia mji mwingine.

“Kwa Mungu Mambo Yote Yanawezekana”

Alipowasaidia Mashahidi wenzake kuchapisha machapisho ya Biblia katika Kigeorgia, Natela alikabili hali ambayo alifikiri ‘hawezi’ kukabiliana nayo.

Biblia ya Kigeorgia

Hati za kale za Biblia katika Kigeorgia ziliandikwa katika miaka ya 450 W.K. au hata mapema zaidi.

“Mungu Akaendelea Kuikuza.”—1 Kor. 3:6.

Baada ya nchi ya Georgia kupata uhuru, Mashahidi wa Yehova walifurahia ukuzi mkubwa wa kiroho.

Wachungaji Wenye Upendo Waandaa Mazoezi

Baada ya kuanguka kwa utawala wa Kikomunisti, Mashahidi walipangaje makutaniko, mikutano, makusanyiko, na utafsiri wa machapisho ya Biblia?

Mume Wangu Hakuweza Kuacha Kusoma!

Badri Kopaliani alikuwa na tamaa kubwa ya kusoma Biblia yake mpya, hivyo akachukua likizo kazini ili amalize kuisoma.

Mmekuwa Wapi Siku Hizo Zote?

Kabla ya mwaka kwisha baada ya kubatizwa, Artur Gerekhelia alihamia eneo lenye uhitaji mkubwa wa wahubiri wa Ufalme.

Nilihisi Nimefanikiwa Maishani

Ingawa alikuwa na cheo cha juu katika Chama cha Kikomunisti nchini Georgia, Madona Kankia aliamua kufuatia mradi mwingine maishani.

Upendo wa Kweli wa Kikristo Haushindwi Kamwe

Wakati wa vita huko Abkhazia, Igor Ochigava na Gizo Narmania waliwasaidia Mashahidi wenzao kupata chakula na msaada wa kiroho.

Niliona kwa Macho Yangu Mwenyewe Kile Ambacho Biblia Inasema!

Kwa kuwa hakuwapenda Mashahidi wa Yehova, Pepo alifanya kile ambacho mama yake alimwambia: “Nenda ujionee mwenyewe mambo wanayofundisha.”

Baraka ‘Katika Majira Yanayofaa na Majira Yenye Taabu.’—2 Tim. 4:2.

Idadi ya wahubiri iliongezeka kwa kasi sana katika miaka hiyo, kisha wimbi la upinzani likaanza kutoka chanzo ambacho hakikutarajiwa.

Vitisho Havikuwazuia Kumtumikia Yehova

Watu walitendaje Mashahidi wa Yehova walipotendewa kwa jeuri nchini Georgia?

“Hilo Ndilo Fungu la Urithi la Watumishi wa Yehova.”—Isa. 54:17.

Wahubiri wanaojitahidi kupanua utendaji wao wa kitheokrasi wanajionea baraka za Yehova.

Walimkumbuka Muumba Wao Mkuu

Asilimia 33 ya mapainia nchini Georgia wana umri usiozidi miaka 25.

Wakurdi Waikubali Kweli

Watu wanaomwogopa Mungu wanafurahi kusikia ujumbe wa kweli katika lugha yao wenyewe.

Upendo Unashinda Mipaka Iliyowekwa na Wanadamu

Akina nyanya (bibi) wawili walijionea upendo wa undugu wetu.

Miaka Mia Moja Iliyopita—1917

Wanafunzi wengi wa Biblia mwaka wa 1917 ulikuwa mwaka wa kujaribiwa na kusafishwa. Licha ya hali ngumu, walio washikamanifu waliendelea kutanguliza masilahi ya Ufalme.

Jumla Kuu 2016

Ripoti hii ya kila mwaka inatoa habari hususa kuhusu utendaji wa Mashahidi wa Yehova ulimwenguni pote katika mwaka wa 2016.

Ripoti ya Mwaka wa Utumishi wa 2016 ya Mashahidi wa Yehova Ulimwenguni Pote

Ripoti hii inatia ndani idadi ya wahubiri, ofisi za tawi, nchi, hudhurio la Ukumbusho, na mengi zaidi.