Je, mafundisho ya Yesu yanaweza kutusaidia leo?
“Mambo yote mnayotaka watu wawatendee ninyi, lazima ninyi pia mwatendee vivyo hivyo.”—Mathayo 7:12.
Isitoshe, Yesu alifundisha kwamba
-
Tunaweza kupunguza mahangaiko kwa kukazia fikira mambo ya leo badala ya kuwa na wasiwasi kuhusu mambo ambayo huenda yakatokea kesho.—Mathayo 6:34.
-
Tunapaswa kuwasamehe wengine.—Mathayo 6:14, 15.
Tazama drama ya Habari Njema Kulingana na Yesu kwenye jw.org/sw.

