Je, tutawaona tena wapendwa wetu waliokufa?
“Saa inakuja ambayo wote walio katika makaburi ya ukumbusho wataisikia sauti yake na kutoka.”—Yohana 5:28, 29.
Biblia inatuhakikishia kwamba
-
Mungu atawafufua wapendwa wetu waliokufa.—Matendo 24:15.
-
Anatamani sana kuwafufua.—Ayubu 14:13-15.
Ili ujifunze mengi zaidi, tembelea tovuti ya jw.org/sw

