PROGRAMU YA KUSANYIKO LA MZUNGUKO LA 2025-2026 LILILO NA MWAKILISHI WA OFISI YA TAWI

Tafuta Majibu ya Maswali Haya

Kiswahili
Tafuta Majibu ya Maswali Haya
/assets/ct/28ada02fb0/images/syn_placeholder_sqr.png
CA-brpgm26 uku. 4

Tafuta Majibu ya Maswali Haya

Tafuta Majibu ya Maswali Haya
  1. 1. Tunawezaje ‘kusikia yale ambayo roho inasema’? (Ufu. 1:​3, 10, 11; 3:19)

  2. 2. Ni nini kitakachotusaidia kuendelea kuwa wenye bidii na kuvumilia? (Ufu. 2:4)

  3. 3. Tunaweza kujitayarisha jinsi gani ili tuvumilie mateso kwa ujasiri? (Met. 29:25; Ufu. 2:​10, 11)

  4. 4. Tunawezaje kuepuka kukana imani yetu katika Yesu? (Ufu. 2:​12-16)

  5. 5. Tunawezaje kuendelea kushika imara kile tulicho nacho? (Ufu. 2:​24, 25; 3:​1-3, 7, 8, 10, 11)

  6. 6. Ni nini kitakachotusaidia kuendelea kuwa wenye bidii? (Ufu. 3:​14-19; Mt. 6:​25-27, 31-33)

© 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania

CA-brpgm26-SW