Programu ya Kusanyiko la 2023 la “Iweni na Subira”!

Ijumaa

Programu ya Ijumaa inategemea andiko la 1 Wakorintho 13:4—“Upendo ni wenye subira.”

Jumamosi

Programu ya Jumamosi inategemea andiko la 1 Wathesalonike 5:14—“Iweni na subira kwa watu wote.”

Jumapili

Programu ya Jumapili inategemea andiko la Isaya 30:18—“Yehova anangoja kwa subira ili kuwaonyesha kibali.”

Habari kwa Wahudhuriaji

Habari zitakazowasaidia wahudhuriaji wa kusanyiko.

Huenda Ukapenda Pia

KUTUHUSU

Hudhuria Kusanyiko la Eneo la 2026​—⁠“Furaha ya Milele”

Tunakualika uhudhurie kusanyiko la mwaka huu la siku tatu litakalofanywa na Mashahidi wa Yehova.

MAKUSANYIKO

Unaalikwa: Kusanyiko la Eneo la Mashahidi wa Yehova la 2023 Lenye Kichwa “Iweni na Subira”!

Tunakukaribisha kwa uchangamfu kwenye kusanyiko la eneo la mwaka huu la Mashahidi wa Yehova litakalofanyika kwa siku tatu.

MAKUSANYIKO

Kionjo cha Drama: “Mkabidhi Yehova Njia Yako”

Jifunze jinsi changamoto mpya zinavyoweza kuimarisha azimio letu la kumtegemea Yehova.