Programu ya Kusanyiko la 2023 la “Iweni na Subira”!
Ijumaa
Programu ya Ijumaa inategemea andiko la 1 Wakorintho 13:4—“Upendo ni wenye subira.”
Jumamosi
Programu ya Jumamosi inategemea andiko la 1 Wathesalonike 5:14—“Iweni na subira kwa watu wote.”
Jumapili
Programu ya Jumapili inategemea andiko la Isaya 30:18—“Yehova anangoja kwa subira ili kuwaonyesha kibali.”
Habari kwa Wahudhuriaji
Habari zitakazowasaidia wahudhuriaji wa kusanyiko.
Huenda Ukapenda Pia
KUTUHUSU
Hudhuria Kusanyiko la Eneo la 2026—“Furaha ya Milele”
Tunakualika uhudhurie kusanyiko la mwaka huu la siku tatu litakalofanywa na Mashahidi wa Yehova.
MAKUSANYIKO
Unaalikwa: Kusanyiko la Eneo la Mashahidi wa Yehova la 2023 Lenye Kichwa “Iweni na Subira”!
Tunakukaribisha kwa uchangamfu kwenye kusanyiko la eneo la mwaka huu la Mashahidi wa Yehova litakalofanyika kwa siku tatu.
MAKUSANYIKO
Kionjo cha Drama: “Mkabidhi Yehova Njia Yako”
Jifunze jinsi changamoto mpya zinavyoweza kuimarisha azimio letu la kumtegemea Yehova.

