MNARA WA MLINZI Machi 2013 | Ufufuo wa Yesu—Una Umuhimu Gani Kwako?

Je, ufufuo wa Yesu una umuhimu kwako leo?

HABARI KUU

Ufufuo wa Yesu—Je, Kweli Ulitukia?

Kwa kuwa ufufuo wa Yesu ni fundisho la msingi la Biblia, tunahitaji kujua kama kweli ulitukia.

HABARI KUU

Ufufuo wa Yesu Humaanisha Uzima!

Wazia uzima wa milele bila maumivu, kuteseka, wala huzuni.

Je, Wajua?

Wayahudi wa karne ya kwanza walitayarishaje wafu kabla ya kuwazika?

WASOMAJI WETU WANAULIZA

Je, Yesu Alimwahidi Yule Mtenda-Maovu Kwamba Ataishi Mbinguni?

Yesu alimwahidi yule mtenda-maovu: “Utakuwa pamoja nami katika Paradiso.” Alimaanisha nini?

SIMULIZI LA MAISHA

“Niliona, Lakini Sikuelewa”

Olivier alikabili matatizo ya pekee kwa sababu alikuwa kiziwi. Soma uone jinsi Yehova alivyomsaidia.

MKARIBIE MUNGU

“Ni Amri Gani Iliyo ya Kwanza Kati ya Zote? ”

Mambo ambayo Mungu anataka tufanye yanaweza kufafanuliwa kwa neno moja tu.

WAFUNDISHE WATOTO WAKO

Petro na Anania Walidanganya—Tunajifunza Nini?

Soma uone kwa nini mtu fulani alisamehewa alipodanganya lakini mwingine hakusamehewa.

Majibu ya Maswali ya Biblia

WKwa nini Yesu anaitwa Mwana wa Mungu? Aliumbwa lini?

Habari Zaidi Mtandaoni

Je, Mashahidi wa Yehova Ni Wakristo?

Tafadhali chunguza uone jinsi tulivyo tofauti na wengine wanaoitwa Wakristo.