MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Desemba 2015
Toleo hili lina makala za funzo za Februari 1 hadi 28, 2016.
Je, Unakumbuka?
Ona unakumbuka mambo gani yaliyochapishwa kwenye gazeti la Mnara wa Mlinzi ndani ya miezi sita iliyopita.
Yehova, Mungu wa Mawasiliano
Tunajifunza kweli muhimu sana kutokana na jinsi Yehova anavyotumia lugha mbalimbali kuwasilisha mawazo yake kwa wanadamu.
Tafsiri Bora ya Neno la Mungu
Kanuni tatu za msingi zilitumiwa na Halmashauri ya Kutafsiri Biblia ya Ulimwengu Mpya.
Tafsiri ya Ulimwengu Mpya Toleo la Mwaka 2013
Ni baadhi ya marekebisho gani yamefanywa katika toleo hili?
Tumia Vizuri Nguvu za Ulimi Wako
Mfano wa Yesu unaweza kukusaidiaje kuamua wakati wa kusema, jambo la kusema na jinsi ya kusema?
Yehova Atakutegemeza
Tunapaswa kuwa na maoni gani kuhusu udhaifu, na tunapaswa kufanya nini?
SIMULIZI LA MAISHA
Nina Amani na Mungu Pamoja na Mama Yangu
Michiyo Kumagai alipoacha kuabudu mababu, hakuelewana na mama yake. Aliwezaje kurudisha amani?
Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2015
Makala hizo zimechapishwa katika matoleo ya watu wote na funzo.

