MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Oktoba 2015
Toleo hili lina makala za funzo za Novemba 30 hadi Desemba 27, 2015.
‘Endeleeni Kuwaheshimu Sana Watu wa Namna Hiyo’
Wasaidizi wa halmashauri za Baraza Linaloongoza ni nani? Wanafanya kazi gani?
Je, Unauona Mkono wa Yehova Maishani Mwako?
Biblia inamaanisha nini inaposema kuhusu “mkono” wa Mungu?
“Tupe Imani Zaidi”
Je, tunaweza kuwa na imani thabiti pasipo msaada wa Yehova?
SIMULIZI LA MAISHA
Hakujutia Uamuzi Aliofanya Ujanani
Nikolai Dubovinsky alimtumikia Yehova kwa uaminifu wakati wa marufuku chini ya Muungano wa Sovieti, na kazi aliyofanya ilikuwa ngumu kuliko kufungwa gerezani.
Mtumikie Yehova Bila Kukengeuka
Zaidi ya miaka 60 iliyopita, gazeti la Mnara wa Mlinzi lilisema maneno ambayo tunaona wazi yakitimia leo.
Tafakari Mambo ya Kiroho
Je, unaweza kudumisha hali nzuri ya kiroho hata kama huna Biblia?
SIMULIZI LA MAISHA
Kumkaribia Mungu Ni Kwema Kwangu
Alipokuwa na umri wa miaka tisa, Sarah Maiga aliacha kukua kimwili, lakini aliendelea kukua kiroho.
“Mtu Asiye na Uzoefu Huamini Kila Neno”
Unawezaje kutambua habari za uwongo, ulaghai, na habari nyingine zisizofaa ambazo tunaweza kupokea?

