MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Oktoba 2013
Toleo hili linazungumzia uthibitisho katika uumbaji unaoonyesha kwamba Muumba wetu ana nguvu na hekima. Pia, jifunze jinsi tunavyoweza kutenda kupatana na mojawapo wa sala za Yesu za upendo.
Walijitoa Wenyewe kwa Hiari Nchini Ufilipino
Jifunze kilichowachochea wengine kuacha kazi zao, kuuza vitu vyao, na kuhamia katika maeneo ya mbali nchini Ufilipino.
Uumbaji Unamfunua Mungu Aliye Hai
Jifunze jinsi unavyoweza kuwasaidia wengine kuelewa ukweli kumhusu Muumba na wakati huohuo kuimarisha imani yetu wenyewe.
“Mtumikieni Yehova”
Tutaepukaje kuwa watumwa wa Shetani? Tunapata thawabu gani tunapomtumikia Yehova kwa uaminifu tukiwa watumwa wake?
SIMULIZI LA MAISHA
Kumtegemea Yehova Kumetuletea Thawabu
Malcolm na Grace Allen wamemtumikia Yehova kwa zaidi ya miaka 75 kila mmoja wao. Soma jinsi walivyojifunza kwamba Yehova huwabariki wale wanaomtegemea.
Mambo Tunayojifunza Kutokana na Sala Iliyotayarishwa Vizuri
Ni mambo gani tunayojifunza kutokana na sala ya Walawi? Tunaweza kuboreshaje sala zetu?
Tenda Kupatana na Sala ya Yesu ya Upendo
Yesu aliposali alitanguliza mapenzi ya Yehova kabla ya kuomba mambo yake binafsi. Tunaweza kutendaje kupatana na sala yake?
Je, Unaweza Kujitahidi Zaidi Kuwaonya Wengine?
Jifunze jinsi ambavyo wengine wametumia kila fursa kuhubiri wanapokuwa katika shughuli zao za kawaida.