MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Septemba 2013

Toleo hili litazungumzia jinsi ya kufanya maamuzi yenye hekima, kuimarisha uhusiano wetu na Yehova Mungu, na kunufaika kutokana na vikumbusho vya Yehova.

Nufaika kwa Kutumia Mbinu ya Kulinganisha na Kutofautisha

Mara nyingi, Yesu alitumia mbinu ya kulinganisha na kutofautisha mambo. Jifunze jinsi unavyoweza kutumia mbinu hiyo kuwasaidia wengine kujua kweli ya Biblia.

Vikumbusho vya Yehova Ni Vyenye Kutegemeka

Sikuzote Yehova ametumia vikumbusho kuwaongoza na kuwaelekeza watu wake. Kwa nini tutegemee vikumbusho vya Mungu leo?

Vifanye Vikumbusho vya Yehova Kuwa Furaha ya Moyo Wako

Je, tunafurahia kufuata amri za Yehova, au nyakati nyingine tunaziona kuwa mzigo? Tunawezaje kutegemea vikumbusho vyake?

Je, Umegeuzwa?

Kwa nini ni lazima Wakristo wote wawe tayari ‘kugeuzwa’? Kugeuzwa kunahusisha nini, na tunawezaje kufaulu?

Fanya Maamuzi ya Kibinafsi kwa Hekima

Tutahakikishaje kwamba maamuzi yetu yanapatana na mapenzi ya Mungu? Ni nini kinachoweza kutusaidia kutekeleza maamuzi tunayofanya?

Upainia Huimarisha Uhusiano Wetu na Mungu

Fikiria njia nane zinazoonyesha jinsi upainia unavyoweza kuimarisha uhusiano wako na Yehova. Ni nini kinachoweza kukusaidia kuendelea na utumishi huo unaothawabisha?

Maswali Kutoka kwa Wasomaji

Kwa nini Yesu alitokwa na machozi ya kabla ya kumfufua Lazaro, kama andiko la Yohana 11:35 linavyosema?