MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Februari 2013
Toleo hili linazungumzia urithi wetu wa pekee tukiwa watu wa Yehova. Angalia pia jinsi tunavyoweza kubaki chini ya ulinzi wa Yehova.
Huu Ni Urithi Wetu wa Kiroho
Imarisha uthamini wako kwa ajili ya urithi wetu wa kiroho kwa kuchunguza mambo ambayo Yehova amewafanyia wanadamu na watu wake.
Je, Unathamini Urithi Wetu wa Kiroho?
Kujua na kuthamini urithi wetu wa kiroho kunaweza kukusaidia kuazimia kudumisha utimilifu wako kwa Mungu.
Walinzi wa Mfalme Wahubiriwa
Paulo alitumia kila fursa kuhubiri. Ona jinsi mfano wake unavyoweza kukutia moyo kufanya hivyo.
Kaa Katika Bonde la Yehova la Ulinzi
Bonde la ulinzi ni nini na waabudu wa Yehova wanawezaje kupata ulinzi humo?
Jihadhari na Makusudio ya Moyo
Nyakati nyingine moyo wetu hujaribu kutetea mwenendo usiofaa. Ni nini kinachoweza kutusaidia kujua kikweli mambo yaliyo katika moyo wetu?
Usiruhusu Chochote Kikuzuie Kupata Utukufu
Unawezaje kupata utukufu kutoka kwa Mungu? Ni nini kinachoweza kukuzuia kuupata?
Alikuwa wa Familia ya Kafaya
Kupatikana kwa sanduku lenye mifupa ya Miriamu kunathibitisha kwamba Biblia inazungumza kuhusu watu halisi waliotoka katika familia halisi.
HIFADHI YETU YA VITU VYA KALE
Sinema “Isiyosahaulika” Ilitolewa kwa Wakati Unaofaa Kabisa
Jifunze jinsi sinema mpya ya “Creation Drama” ilivyowasaidia Mashahidi nchini Ujerumani kukabiliana na majaribu ya imani wakati wa Vita vya Pili vya Ulimwengu.