Wazazi nchini Afrika Kusini wakijifunza na watoto wao

DAFTARI LA MKUTANO WA HUDUMA NA MAISHA Juni 2018

Mapendekezo ya Kuanzisha Mazungumzo

Mapendekezo ya kuanzisha mazungumzo kuhusu unabii wa Biblia na siku za mwisho.

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Yesu Alitimiza Unabii

Patanisha kila tukio katika maisha ya Yesu na unabii uliotimizwa.

MAISHA YA MKRISTO

Fuata Hatua za Kristo kwa Ukaribu

Yesu alituwekea mfano ili tuuige, hasa tunapokabili majaribu au mateso.

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Iga Unyenyekevu wa Maria

Yehova alimchagua Maria na kumpa pendeleo ambalo hakuna mtu aliyewahi kupata wala hakuna mwingine atakayewahi kupata, kwa sababu alikuwa na mtazamo mzuri sana.

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Vijana​—Je, Mnaendelea Kukua Kiroho?

Yesu aliweka mfano mzuri wa kutanguliza mambo ya kiroho na kuwaheshimu wazazi wake.

MAISHA YA MKRISTO

Wazazi, Wazoezeni Watoto Wenu Vizuri Ili Wafanikiwe

Unaweza kuwasaidia watoto wako kuwa watumishi waaminifu wa Mungu kwa kutumia kila fursa kuwafundisha.

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Pinga Vishawishi Kama Yesu Alivyofanya

Yesu alitumia silaha gani yenye nguvu kupinga vishawishi vitatu vya kawaida?

MAISHA YA MKRISTO

Epuka Mitego ya Mitandao ya Kijamii

Kama tu vifaa vingi, mitandao ya kijamii inaweza kuwa na faida na madhara. Tunaweza kutumia kanuni za Neno la Mungu ili kutambua na kuepuka hatari.