DAFTARI LA MKUTANO WA HUDUMA NA MAISHA Juni 2017
Mapendekezo kwa Ajili ya Utumishi
Mapendekezo kwa ajili ya utumishi ya gazeti la Amkeni! na ya kufundisha kweli kuhusu zawadi ya uhai. Tumia mapendekezo yaliyoonyeshwa kutayarisha utangulizi wako.
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
Neno la Yehova Hutimia Kikamili
Unabii wa Yeremia uliotaja mambo hususa kuhusu kushambuliwa kwa Babiloni na kuwa kwake ukiwa ulitimia kikamili.
MAISHA YA MKRISTO
Imani Yako Katika Ahadi za Yehova Ina Nguvu Kadiri Gani?
Yoshua alithibitisha kwamba hakuna hata neno moja kati ya ahadi zote za Yehova iliyokosa kutimia. Tunaweza kufanya nini ili tuwe na imani zaidi katika ahadi za Mungu?
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
Mtazamo wa Kungojea Unatusaidia Kuvumilia
Ni nini kilichomsaidia Yeremia kuvumilia akiwa na mtazamo mzuri licha ya mateso makali? Tunaweza kufanya nini ili kujitayarisha kwa ajili ya hali ngumu za wakati ujao?
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
Ezekieli Alifurahia Kutangaza Ujumbe wa Mungu
Katika maono, Yehova alimpa Ezekieli kitabu cha kukunjwa na kumwambia ale. Kula kitabu hicho cha kukunjwa kulimaanisha nini kwa Ezekieli?
MAISHA YA MKRISTO
Furahia Kuhubiri Habari Njema
Pindi fulani, inaweza kuwa vigumu kuhubiri habari njema ya Ufalme wa Mungu, lakini Mungu anataka tumtumikie tukiwa na shangwe. Tunaweza kufanya nini ili tufurahie mgawo wetu wa kuhubiri?
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
Je, Utatiwa Alama ya Wokovu?
Maono ya Ezekieli yalitimizwa kwa mara ya kwanza Yerusalemu la kale lilipoharibiwa. Utimizo wa kisasa unatuhusuje?
MAISHA YA MKRISTO
Dumisha Viwango vya Yehova vya Maadili
Tunapaswa kudumisha viwango vya Yehova Mungu vya maadili. Jinsi gani? Kwa nini hilo ni muhimu?

