HABARI

Israel

Kiswahili
Israel
/assets/ct/28ada02fb0/images/syn_placeholder_sqr.png

Israel

 

Mashahidi wa Yehova Nchini Israel

  • 2,104—Idadi ya Mashahidi wa Yehova

  • 34—Makutaniko

  • 3,451—Hudhurio kwenye Ukumbusho wa kifo cha Kristo unaofanywa kila mwaka

  • 1 kwa 4,859—Uwiano wa Mashahidi wa Yehova kwa kulinganisha na idadi ya watu nchini

  • 10,106,000—Idadi ya watu

2019-06-06

ISRAEL

Mashahidi Nchini Israel Wafanya Jitihada za Pekee Kushiriki Mahubiri ya Hadharani

In May 2019, Mashahidi wa Yehova nchini Israel wamefanya jitihada za pekee kushiriki katika mahubiri ya hadharani jijini Tel Aviv.

2018-02-05

ISRAEL

Maonyesho Jijini Tel Aviv Yaonyesha Mambo Ambayo Mashahidi wa Yehova Walikabili Wakati wa Utawala wa Nazi

Maonyesho ya umma kwenye eneo la Hatachana yalikusudiwa kuwasaidia watu wafahamu vizuri kuhusu mateso ambayo Mashahidi wa Yehova walikabili chini ya utawala wa Nazi.

2015-07-29

ISRAEL

Mahakama Kuu Nchini Israel Yatetea Haki ya Mashahidi ya Kukusanyika kwa Amani

Wenye mamlaka nchini Israeli wazuia chuki na ubaguzi wa kidini kwa kutetea haki ya Mashahidi ya kukusanyika ili kuabudu kwa amani.