Habari
Armenia Yaagizwa Iwalipe Fidia Mashahidi 17 wa Yehova
Mnamo Novemba 27, 2012, Mahakama ya Ulaya ya Haki za Kibinadamu iliamua kwamba ni lazima serikali ya Armenia ilipe fidia ya Euro 112,000 (Dola 145,226 za Marekani) kwa sababu ya kukiuka haki ya watu 17 waliokataa utumishi wa kijeshi kwa sababu ya dhamiri yao.
Mashahidi wa Yehova Waadhimisha Miaka 100 Nchini Korea Kusini
SEOUL, Korea—Novemba 2012 ni mwezi wa pekee kwa Mashahidi wa Yehova zaidi ya 100,000 nchini Korea Kusini kwa kuwa wanaadhimisha mwaka wao wa 100 nchini humo.
Tufani Sandy Yapiga Eneo la Pwani ya Mashariki ya Marekani
NEW YORK—Mnamo Oktoba 29, 2012, Tufani Sandy ilisababisha uharibifu mkubwa katika maeneo mengi yaliyo katika mwambao wa Pwani ya Mashariki ya Marekani.
Austria Yaamrishwa Iwalipe Fidia Mashahidi wa Yehova kwa Sababu ya Ubaguzi
Mnamo Septemba 25, 2012, Mahakama ya Ulaya ya Haki za Kibinadamu ilifikia mkataa kwamba serikali ya Austria ilikuwa na hatia ya kuwabagua Mashahidi wa Yehova.
Maamuzi ya Haki Yatolewa Nchini Ukrainia
Mahakama Kuu ya Ukrania ilizuia jaribio lisilo la haki la watu waliotaka kunyakua uwanja ambao ni mali halali ya Mashahidi wa Yehova
Video Fupi: Mashahidi wa Yehova katika Manhattan
Kikundi cha Mashahidi wa Yehova kimeweka meza zinazoonyesha machapisho ya lugha mbalimbali yanayozungumzia Biblia katika Manhattan, New York. Watu wameitikiaje?
Japani—Kuanza Upya Mwaka Mmoja Baadaye!
Mashahidi wa Yehova wanaendelea kutoa msaada kwa waokokaji wa tetemeko la ardhi.

