Kiswahili
News
/assets/ct/fa815d8e9f/images/syn_placeholder_sqr.png

Habari

 

2026-06-12

HABARI ZA ULIMWENGUNI POTE

Ripoti ya 4 ya Baraza Linaloongoza ya 2026

Katika ripoti hii, tutazungumzia mambo yenye kutia moyo kuhusu ziara za ofisi ya tawi na ziara za uchungaji zilizofanywa na washiriki wa Baraza Linaloongoza hivi karibuni. Pia tutazungumzia maamuzi yanayohusu uhuru wetu wa ibada ambayo yalitolewa na mahakama nchini Norway na Sweden.