2026 Programu ya Kusanyiko la Eneo la Furaha ya Milele
Ijumaa
Programu ya Ijumaa inategemea Mathayo 5:3—“Wenye furaha ni wale wanaotambua uhitaji wao wa kiroho.”
Jumamosi
Programu ya Jumamosi inategemea Matendo 20:35—“Kuna furaha zaidi katika kutoa kuliko ilivyo katika kupokea.”
Jumapili
Programu ya Jumapili inategemea Mathayo 13:16—“Macho yenu ni yenye furaha kwa sababu yanaona na masikio yenu kwa sababu yanasikia.”
Habari kwa Wahudhuriaji
Habari zitakazowasaidia wahudhuriaji wa kusanyiko la eneo.
Huenda Ukapenda Pia
KUTUHUSU
Hudhuria Kusanyiko la Eneo la 2026—“Furaha ya Milele”
Tunakualika uhudhurie kusanyiko la mwaka huu la siku tatu litakalofanywa na Mashahidi wa Yehova.
MAKUSANYIKO
Unakaribishwa: Kusanyiko la Eneo la Mashahidi wa Yehova la 2026 la “Furaha ya Milele”
Jiunge nasi katika Kusanyiko la 2026 la “Furaha ya Milele” ili ujifunze jinsi unavyoweza kupata furaha itakayodumu kwa kuwa na uhusiano wa karibu na Muumba.
MAKUSANYIKO
Kionjo cha Drama ya Biblia: Habari Njema Kulingana na Yesu: Drama ya 4, 5, na ya 6
Ni nini kilichowafanya watu wampende Yesu na kumfuata, na ni nini kinachotokea Yesu anapowapinga viongozi wa kidini?

