2026 Programu ya Kusanyiko la Eneo la Furaha ya Milele

Ijumaa

Programu ya Ijumaa inategemea Mathayo 5:3​​—⁠“Wenye furaha ni wale wanaotambua uhitaji wao wa kiroho.”

Jumamosi

Programu ya Jumamosi inategemea Matendo 20:35​​—⁠“Kuna furaha zaidi katika kutoa kuliko ilivyo katika kupokea.”

Jumapili

Programu ya Jumapili inategemea Mathayo 13:16​​—⁠“Macho yenu ni yenye furaha kwa sababu yanaona na masikio yenu kwa sababu yanasikia.”

Habari kwa Wahudhuriaji

Habari zitakazowasaidia wahudhuriaji wa kusanyiko la eneo.

Huenda Ukapenda Pia

KUTUHUSU

Hudhuria Kusanyiko la Eneo la 2026​—⁠“Furaha ya Milele”

Tunakualika uhudhurie kusanyiko la mwaka huu la siku tatu litakalofanywa na Mashahidi wa Yehova.

MAKUSANYIKO

Unakaribishwa: Kusanyiko la Eneo la Mashahidi wa Yehova la 2026 la “Furaha ya Milele”

Jiunge nasi katika Kusanyiko la 2026 la “Furaha ya Milele” ili ujifunze jinsi unavyoweza kupata furaha itakayodumu kwa kuwa na uhusiano wa karibu na Muumba.

MAKUSANYIKO

Kionjo cha Drama ya Biblia: Habari Njema Kulingana na Yesu: Drama ya 4, 5, na ya 6

Ni nini kilichowafanya watu wampende Yesu na kumfuata, na ni nini kinachotokea Yesu anapowapinga viongozi wa kidini?