Kiswahili
Simulizi la Nehemia: “Shangwe ya Yehova Ndiyo Ngome Yenu”—Sehemu ya 2
https://cms-imgp.jw-cdn.org/img/p/1102020309/univ/art/1102020309_univ_sqr_xl.jpg

Nehemia: “Shangwe ya Yehova Ndiyo Ngome Yenu”​—Sehemu ya 2

Nehemia: “Shangwe ya Yehova Ndiyo Ngome Yenu”​—Sehemu ya 2

Baada ya kujenga upya kuta za Yerusalemu, Nehemia anakabiliana na changamoto nyingine. Baada ya muda fulani kupita, hali ya kiroho ya taifa hilo inazorota. Nehemia, Ezra, na Malaki, wanashirikiana kurudisha ibada safi.