Urusi
Wataalamu Wapinga Uamuzi wa Urusi wa Kupiga Marufuku JW.ORG
Julai 21, 2015, Shirikisho la Urusi lawa nchi pekee duniani iliyopiga marufuku jw.org, tovuti rasmi ya Mashahidi wa Yehova.
Kusikilizwa Upya kwa Kesi ya Mashahidi wa Yehova Jijini Taganrog—Ukosefu wa Haki Utakwisha Lini?
Je, Mashahidi 16 wa Urusi watafungwa kwa sababu ya imani yao?
Uamuzi wa Kesi Iliyosikilizwa Upya ya Mashahidi wa Yehova 16 huko Taganrog, Waahirishwa
Kesi hiyo iliyoendeshwa kwa muda mrefu imewaathirije washtakiwa? Je, Urusi itaacha kutumia vibaya sheria ya msimamo mkali na kutetea haki ya uhuru wa ibada?
Mahakama Kuu ya Urusi Yasikiliza Kesi ya Kuzuiwa kwa Shirika la Dini Jijini Abinsk
Je, Mahakama Nchini Urusi itatetea uhuru wa ibada wa Mashahidi na kuondoa vizuizi katika Shirika lao la dini jijini Abinsk, Urusi?
Urusi Yapiga Marufuku JW.ORG, Tovuti Rasmi ya Mashahidi wa Yehova
Wenye mamlaka wametangaza kuwa ni kosa la jinai kutembelea au kuhamasisha jw.org nchini Urusi kwa kuwa ni kufanya shughuli zenye msimamo mkali wa kidini. Marufuku hiyo imezuia watu wasipate Biblia na machapisho yanayotegemea Biblia.
Shahidi Kutoka Urusi Arejesha Zaidi ya Dola 6,800 kwa Aliyezipoteza
Svetlana Nemchinova, Shahidi wa Yehova, alifanya jitihada kubwa ili kumpata aliyepoteza pesa nyingi ambazo zilikuwa zimetupwa kimakosa pamoja na takataka.
Mahakama Kuu ya Urusi Yapiga Marufuku Shirika la Kisheria la Mashahidi Jijini Samara—Tutarajie Nini?
Uamuzi wa Mahakama kuu unahatarisha uhuru wa kidini wa Mashahidi wa Yehova 180,000 nchini Urusi. Wenye mamlaka wanaweza kutumia uamuzi huo kama msingi wa mateso ya kidini dhidi ya Mashahidi.
Uamuzi wa Mahakama Kuu ya Shirikisho la Urusi Wahatarisha Uhuru wa Kidini wa Mashahidi Nchini Urusi
Uamuzi huo wa Mahakama unahatarisha uhuru wa kidini wa Mashahidi wa Yehova 180,000 nchini Urusi. Wenye mamlaka wanaweza kuutumia kama kigezo cha kupiga marufuku utendaji wa kidini wa Mashahidi.
Rufani Yakatwa Kwenye Mahakama ya Wilaya ya Rostov—Je, Mashahidi wa Yehova Wataondolewa Mashtaka au Watafungwa?
Desemba 11, 2014, Mahakama itasikiliza rufani iliyokatwa na Mashahidi 16 wa Taganrog, Urusi. Wanakabili mashtaka ya kufanya shughuli zenye “msimamo mkali.”
Kesi Kuhusu Kufungwa kwa Shirika la Kisheria la Mashahidi Jijini Samara Itaendelea
Novemba 12, 2014, Mahakama Kuu itaendelea kusikiliza kesi kuhusu kufungwa kwa shirika la kidini la Mashahidi wa Yehova (LRO) jijini Samara, Urusi.
Mashahidi Wakata Rufani Kwenye Mahakama Kuu ya Shirikisho la Urusi kwa Kufungwa kwa Shirika Lao la Kisheria Jijini Samara
Mahakama Kuu itasikiliza kesi ya rufani ya Mashahidi wa Yehova jijini Samara ili kufutilia mbali uamuzi wa kufunga shirika lao la kisheria (LRO) na kulitangaza kuwa na msimamo mkali wa kidini.
Mahakama ya Jiji la Taganrog Yawahukumu Mashahidi wa Yehova Kuwa na Hatia kwa Sababu ya Imani Yao
Hukumu hiyo itakuwa na matokeo mabaya, na inaelekea kwamba Mashahidi zaidi ya 160,000 wa Yehova nchini Urusi hawatakuwa na uhuru wa kidini.

