Urusi
Mahojiano: Dada Watano Wakumbuka Jinsi Polisi Walivyovamia Eneo la Ufa, Urusi
Wachunguzi na kikosi cha polisi maalum wakiwa wamebeba silaha, walivamia na kupekua nyumba kadhaa za Mashahidi wa Yehova. Wanawake watano Wakristo wanasimulia jinsi uvamizi huo ulivyowaathiri wao binafsi.
Mashahidi Zaidi Wafungwa Baada ya Uvamizi Mbaya wa Nyumba Nchini Urusi
Wenye mamlaka nchini Urusi wameendeleza kampeni yao ya kuwatisha, kuwakamata na kuwafunga Mashahidi kwa kushiriki utendaji wa imani yao.
Urusi Yataifisha Ofisi ya Tawi
Kabla ya kusikilizwa kwa rufaa hiyo, mwandishi wa habari, mtaalamu wa kidini, na mawakili wawili Mashahidi walifunua kwamba huo ni ukosefu wa haki wa nchi ya Urusi kutaifisha iliyokuwa ofisi ya tawi.
Shahidi Mwingine wa Yehova Nchini Urusi Ashtakiwa kwa Madai ya Kuwa na Msimamo Mkali
Arkadya Akopyan, Shahidi mwenye umri wa miaka 70 ambaye amestaafu kazi ya kushona nguo, ni raia mnyoofu, anayetii sheria ambaye anataka kumwabudu Mungu kwa amani.

