Nepal
Mashahidi wa Yehova kutoka Nchi Mbalimbali Wanasaidia Waathiriwa wa Tetemeko la Ardhi Nchini Nepal
Mashahidi wa Yehova kutoka nchi sita wakishirikiana na Halmashauri ya Kutoa Msaada ya Nepal, wanaendelea kutoa msaada wa kimwili, kihisia, na kiroho kwa waathiriwa wa tetemeko la ardhi.

