Masimulizi ya Maisha ya Mashahidi wa Yehova
Ulimwenguni pote, wanaume na wanawake wametanguliza ibada ya Yehova maishani mwao. Masimulizi yao yatakutia moyo na kuimarisha imani yako.
PETER HAMADEJ
Yehova Ametusaidia Kufanya Maamuzi ya Hekima
Peter na mke wake, Lenka, walikabiliana na changamoto mbalimbali katika maisha yao. Kwa msaada wa Yehova walifanya maamuzi ya hekima walipokabili hali ngumu.
CAROL APPLEBY
Yehova Alinisaidia Kuwalea Watoto Wangu Watano
Yehova alimsaidia Carol kushinda changamoto mbalimbali alizokabili alipokuwa akiwalea watoto wake wawe Mashahidi waaminifu.
VIRGILIJUS PUDŽIUVYS
Sikuzote Yehova Hufanya Njia ya Kutokea
Licha ya mateso, kushinikizwa na serikali, na kufungwa gerezani, Virgilijus na mke wake wamejionea tena na tena Yehova akijibu sala zao za kuomba msaada.
OLEH RADZYMINSKYI
Gereza Halikunitenga na Yehova
Imani ya Oleh katika Yehova ilijaribiwa alipokuwa shuleni, alipokuwa gerezani, na alipopata dharura ya kitiba. Jifunze jinsi Oleh alivyoendelea kumtegemea Yehova katika maisha yake yote.
WARREN REYNOLDS
Ninafurahi Kwamba Nilichagua Kazi Bora Zaidi
Warren na mke wake, Leann, wamejionea jinsi ambavyo Yehova hutuzoeza tutimize jambo lolote analotaka, ikiwa tutakuwa tayari kukubali kufanya kazi anayotupatia.
KARL RIETZ
Nimejionea Kwamba Mkono wa Yehova Si Mfupi
Karl amejionea mkono wa Yehova mara nyingi wakati ambapo kiwanda cha uchapishaji cha Brazili kilikuwa kinapanuliwa ili kutosheleza uhitaji uliokuwa ukiongezeka wa machapisho.
KAMAL VIRDEE
“Nilitamani Sana Kuona Haki Ikitendeka”
Kamal na dada zake walitendewa isivyo haki na kukabili upinzani mkali kutoka kwa familia yao. Lakini alipata suluhisho la ukosefu wa haki na sasa anamtumikia Yehova kwa shangwe katika migawo mbalimbali.
IBOLYA BARTHA
Nilimvuta Mume Wangu “Bila Neno”
Ibolya alivumilia upinzani kutoka kwa mume wake kwa miaka 13. Licha ya yote, alijifunza kwamba hali hubadilika na pia watu hubadilika.
HÅKAN DAVIDSSON
Kutegemeza Kazi ya Kutangaza Kweli za Biblia
Håkan alijiwekea miradi ya kiroho mapema badala ya kutanguliza “burudani.” Sasa, zaidi ya miaka hamsini imepita na amepata baraka ya kujionea jinsi habari njema inavyowafikia watu katika kila taifa, kabila, na lugha.
MILES NORTHOVER
Yehova Alithawabisha Kazi ya Mikono Yangu
Kujifunza lugha ya ishara kulimsaidia Miles kuamua jinsi ya kutumia maisha yake. Anasimulia shangwe aliyopata maishani mwake kwa kujitoa katika kazi ya kuwasaidia viziwi nchini Uingereza kwa zaidi ya miaka hamsini.
IRMA BENTIVOGLI
Kumtumikia Mpaji wa “Kila Zawadi Njema”
Ingawa bado anakumbuka mambo mabaya yaliyotukia wakati wa Vita vya Pili vya Ulimwengu, Irma anashukuru kwa zawadi za kiroho ambazo amepata, kama vile watu waliomwekea kielelezo kizuri na utumishi wa Betheli.
Masimulizi ya Maisha Katika Magazeti Yetu
Pata viunganishi vya mamia ya masimulizi ya maisha ya Mashahidi wa Yehova yaliyochapishwa katika Mnara wa Mlinzi na Amkeni! Tangu 1955.
ASTER PARKER
Nilitaka Kumtumikia Yehova Kikamili
Tangu alipokuwa mdogo, Aster aliipenda kweli. Imani yake ilijaribiwa alipofungwa gerezani wakati wa machafuko ya kisiasa nchini Ethiopia. Aster alitumikia Betheli jijini New York na baadaye yeye na mume wake waliwalea wana wao watatu.
JAY CAMPBELL
Niliinuliwa Kutoka Ardhini Nikakwezwa Kwa Njia Ambayo Sikutazamia
Jay alipata ulemavu alipokuwa mtoto na pia walikuwa maskini na hata hakuweza kwenda shule. Licha ya changamoto hizo zote, amewasadia watu watatu kufikia ubatizo na anaendelea kuhubiri kwa bidii.
TAPANI VIITALA
Kutimiza Tamaa Yangu ya Kuwasaidia Viziwi
Tapani alitembelea sehemu mbalimbali nchini Finland, Estonia, Latvia, na Lithuania, akiwahubiria viziwi habari njema. Sasa, zaidi ya miaka 60 imepita tangu alipobatizwa na bidii yake bado inawaka!
PHYLLIS LIANG
Yehova Amebariki Utayari Wangu
Phyllis ametumikia katika migawo mbalimbali. Utayari wake wa kubadilikana na hali na kukabili changamoto umemletea baraka nyingi, nyakati nyingine katika njia ambazo hakutarajia.
ELFRIEDE URBAN
Maisha Yenye Kuridhisha ya Umishonari
Elfriede alitimiza ndoto yake ya utotoni ya kuwa mmishonari. Sasa zaidi ya miaka 55 baadaye, anaendelea kuwafundisha watu kumhusu Yehova licha ya nyakati za taabu na hali kubadilika.
TERRY REYNOLDS
Yehova Alinisaidia Nimpe Kilicho Bora Zaidi
Tamaa ya Terry ya kufanya utumishi wa wakati wote iwe kazi yake maishani imeongoza kwenye migawo mbalimbali, kutia ndani umishonari na utumishi wa Betheli nchini Taiwan. Zaidi ya miaka 60 baada ya kuanza upainia, bado anaendelea kutumikia kwa moyo wote pamoja na mke wake, Wen-hwa.
CAMILLA ROSAM
Kumtii Yehova Ndilo Jambo Muhimu Zaidi Maishani Mwangu
Camilla na mume wake, Eugene, walitanguliza kumpenda Yehova na kumtii yeye na pia tengenezo lake, maishani mwao.
DAVID MAZA
Familia Yenye Furaha Yatikiswa na Kuwa Imara Tena
Safari ndefu na yenye taabu ya familia moja inawachochea wengine kuwa na tumaini na uhakika katika Yehova.
JESÚS MARTÍN
“Yehova Aliniokoa Nilipokabili Hali Ngumu Zaidi Maishani Mwangu”
Baada ya kutumikia miaka mingi akiwa peke yake gerezani katika chumba chenye baridi na giza, Jesús alifurahia kwa miaka mingi kazi yenye kuridhisha ya utumishi wa wakati wote, na alijifunza kutegemea nguvu za Yehova.
DORINA CAPARELLI
Licha ya Kuwa na Haya, Ikiwa Ningepewa Nafasi Nyingine Nisingebadili Chochote!
Dorina ametumikia akiwa painia wa kawaida, painia wa pekee, katika kazi ya mzunguko na ya wilaya, na akiwa Mwanabetheli. Anasimulia kuhusu miaka 70 hivi ya utumishi wa wakati wote na jinsi ambavyo Yehova amemsaidia na kumbariki.
MILTIADIS STAVROU
“Tumejionea Yehova Akitutunza na Kutuongoza”
Milto na mke wake Doris walikabili changamoto nyingi na pindi nyingi ambazo hawakujua watakabili hali zipi walipokuwa katika mgawo wao wa umishonari katika Mashariki ya Kati. Hali hizo ziliwafanya wasijitegemee bali wamtegemee Yehova Mungu kikamili.
DAYRELL SHARP
Kwa Nguvu za Mungu Haturudi Nyuma
Licha ya hali ngumu, Dayrell na Susanne Sharp waliwasaidia zaidi ya watu 130 kufanya maendeleo na kubatizwa.
GEORGIY PORCHULYAN
“Kumpenda Yehova Kumenitegemeza Maishani”
Jitihada yake ya kutafuta haki na amani ya akili ilimwongoza kuwa Shahidi wa Yehova. Upendo wake kwa Yehova ulimtegemeza alipokuwa katika kambi ya kazi ngumu na alipokuwa uhamishoni na ulimpatia nguvu na kumtunza mke wake mpendwa.
KARL RIETZ
Nimejionea Kwamba Mkono wa Yehova Si Mfupi
Karl amejionea mkono wa Yehova mara nyingi wakati ambapo kiwanda cha uchapishaji cha Brazili kilikuwa kinapanuliwa ili kutosheleza uhitaji uliokuwa ukiongezeka wa machapisho.
PETER HAMADEJ
Yehova Ametusaidia Kufanya Maamuzi ya Hekima
Peter na mke wake, Lenka, walikabiliana na changamoto mbalimbali katika maisha yao. Kwa msaada wa Yehova walifanya maamuzi ya hekima walipokabili hali ngumu.
CAROL APPLEBY
Yehova Alinisaidia Kuwalea Watoto Wangu Watano
Yehova alimsaidia Carol kushinda changamoto mbalimbali alizokabili alipokuwa akiwalea watoto wake wawe Mashahidi waaminifu.
IBOLYA BARTHA
Nilimvuta Mume Wangu “Bila Neno”
Ibolya alivumilia upinzani kutoka kwa mume wake kwa miaka 13. Licha ya yote, alijifunza kwamba hali hubadilika na pia watu hubadilika.
HÅKAN DAVIDSSON
Kutegemeza Kazi ya Kutangaza Kweli za Biblia
Håkan alijiwekea miradi ya kiroho mapema badala ya kutanguliza “burudani.” Sasa, zaidi ya miaka hamsini imepita na amepata baraka ya kujionea jinsi habari njema inavyowafikia watu katika kila taifa, kabila, na lugha.
Masimulizi ya Maisha Katika Magazeti Yetu
Pata viunganishi vya mamia ya masimulizi ya maisha ya Mashahidi wa Yehova yaliyochapishwa katika Mnara wa Mlinzi na Amkeni! Tangu 1955.
DORINA CAPARELLI
Licha ya Kuwa na Haya, Ikiwa Ningepewa Nafasi Nyingine Nisingebadili Chochote!
Dorina ametumikia akiwa painia wa kawaida, painia wa pekee, katika kazi ya mzunguko na ya wilaya, na akiwa Mwanabetheli. Anasimulia kuhusu miaka 70 hivi ya utumishi wa wakati wote na jinsi ambavyo Yehova amemsaidia na kumbariki.
PHYLLIS LIANG
Yehova Amebariki Utayari Wangu
Phyllis ametumikia katika migawo mbalimbali. Utayari wake wa kubadilikana na hali na kukabili changamoto umemletea baraka nyingi, nyakati nyingine katika njia ambazo hakutarajia.
TERRY REYNOLDS
Yehova Alinisaidia Nimpe Kilicho Bora Zaidi
Tamaa ya Terry ya kufanya utumishi wa wakati wote iwe kazi yake maishani imeongoza kwenye migawo mbalimbali, kutia ndani umishonari na utumishi wa Betheli nchini Taiwan. Zaidi ya miaka 60 baada ya kuanza upainia, bado anaendelea kutumikia kwa moyo wote pamoja na mke wake, Wen-hwa.
ASTER PARKER
Nilitaka Kumtumikia Yehova Kikamili
Tangu alipokuwa mdogo, Aster aliipenda kweli. Imani yake ilijaribiwa alipofungwa gerezani wakati wa machafuko ya kisiasa nchini Ethiopia. Aster alitumikia Betheli jijini New York na baadaye yeye na mume wake waliwalea wana wao watatu.
MILES NORTHOVER
Yehova Alithawabisha Kazi ya Mikono Yangu
Kujifunza lugha ya ishara kulimsaidia Miles kuamua jinsi ya kutumia maisha yake. Anasimulia shangwe aliyopata maishani mwake kwa kujitoa katika kazi ya kuwasaidia viziwi nchini Uingereza kwa zaidi ya miaka hamsini.
JESÚS MARTÍN
“Yehova Aliniokoa Nilipokabili Hali Ngumu Zaidi Maishani Mwangu”
Baada ya kutumikia miaka mingi akiwa peke yake gerezani katika chumba chenye baridi na giza, Jesús alifurahia kwa miaka mingi kazi yenye kuridhisha ya utumishi wa wakati wote, na alijifunza kutegemea nguvu za Yehova.
DAVID MAZA
Familia Yenye Furaha Yatikiswa na Kuwa Imara Tena
Safari ndefu na yenye taabu ya familia moja inawachochea wengine kuwa na tumaini na uhakika katika Yehova.
GEORGIY PORCHULYAN
“Kumpenda Yehova Kumenitegemeza Maishani”
Jitihada yake ya kutafuta haki na amani ya akili ilimwongoza kuwa Shahidi wa Yehova. Upendo wake kwa Yehova ulimtegemeza alipokuwa katika kambi ya kazi ngumu na alipokuwa uhamishoni na ulimpatia nguvu na kumtunza mke wake mpendwa.
CAMILLA ROSAM
Kumtii Yehova Ndilo Jambo Muhimu Zaidi Maishani Mwangu
Camilla na mume wake, Eugene, walitanguliza kumpenda Yehova na kumtii yeye na pia tengenezo lake, maishani mwao.
DAYRELL SHARP
Kwa Nguvu za Mungu Haturudi Nyuma
Licha ya hali ngumu, Dayrell na Susanne Sharp waliwasaidia zaidi ya watu 130 kufanya maendeleo na kubatizwa.
MILTIADIS STAVROU
“Tumejionea Yehova Akitutunza na Kutuongoza”
Milto na mke wake Doris walikabili changamoto nyingi na pindi nyingi ambazo hawakujua watakabili hali zipi walipokuwa katika mgawo wao wa umishonari katika Mashariki ya Kati. Hali hizo ziliwafanya wasijitegemee bali wamtegemee Yehova Mungu kikamili.
ELFRIEDE URBAN
Maisha Yenye Kuridhisha ya Umishonari
Elfriede alitimiza ndoto yake ya utotoni ya kuwa mmishonari. Sasa zaidi ya miaka 55 baadaye, anaendelea kuwafundisha watu kumhusu Yehova licha ya nyakati za taabu na hali kubadilika.
JAY CAMPBELL
Niliinuliwa Kutoka Ardhini Nikakwezwa Kwa Njia Ambayo Sikutazamia
Jay alipata ulemavu alipokuwa mtoto na pia walikuwa maskini na hata hakuweza kwenda shule. Licha ya changamoto hizo zote, amewasadia watu watatu kufikia ubatizo na anaendelea kuhubiri kwa bidii.
KAMAL VIRDEE
“Nilitamani Sana Kuona Haki Ikitendeka”
Kamal na dada zake walitendewa isivyo haki na kukabili upinzani mkali kutoka kwa familia yao. Lakini alipata suluhisho la ukosefu wa haki na sasa anamtumikia Yehova kwa shangwe katika migawo mbalimbali.
TAPANI VIITALA
Kutimiza Tamaa Yangu ya Kuwasaidia Viziwi
Tapani alitembelea sehemu mbalimbali nchini Finland, Estonia, Latvia, na Lithuania, akiwahubiria viziwi habari njema. Sasa, zaidi ya miaka 60 imepita tangu alipobatizwa na bidii yake bado inawaka!
Samahani, hakuna maneno yanayopatana na unachotafuta.

