Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | MWANZO 29-30

Yakobo Anaoa

Yakobo Anaoa

29:18-28

Yakobo hakujua mbele ya wakati magumu yenye angepata kwa sababu ya kuoa. Raheli na Lea, walikuwa wanashindana. (Mwa 29:32; 30:1, 8) Hata kama alipata magumu, Yakobo aliona kama Yehova aliendelea kumusaidia. (Mwa 30:29, 30, 43) Ku mwisho, watoto wake wakakuwa taifa la Israeli.​—Rut 4:11.

Leo, wale wenye wanachagua kuoa ao kuolewa watapata magumu. (1Ko 7:28) Lakini, wanaweza kuwa na ndoa yenye furaha kama wanamutegemea Yehova na kutumikisha kanuni zenye kuwa katika Biblia. ​—Mez 3:5, 6; Efe 5:33.