Abrahamu anaonyesha utii na anamupeleka Isaka katika inchi ya Moria

BUKU YA MUKUTANO UTUMISHI NA MAISHA YA MUKRISTO Mwezi wa 3, 2020

Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo

Namna ya kuanzisha mazungumuzo juu ya Yesu Kristo na zabihu yake.

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

Mungu Anamujaribu Abrahamu

Juu ya nini Yehova alimuomba Abrahamu atoe mutoto wake kuwa zabihu?

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

Kumutafutia Isaka Bibi

Mufano wa mutumishi wa Abrahamu unaweza kukufundisha nini juu ya namna ya kukamata maamuzi makubwa?

MAISHA YA MUKRISTO

Nitaalika Nani?

Kwenye Ukumbusho wenye kuja wa kifo cha Kristo, ni nani wenye unaweza kualika?

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

Esau Anauzisha Haki Yake ya Kuwa Muzaliwa wa Kwanza

Ni mambo gani matakatifu yenye unapaswa kuheshimia?

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

Yakobo Anapewa Baraka Yenye Iko na Haki ya Kupata

Yakobo alifanya nini ili apate baraka yenye alikuwa na haki ya kupata?

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

Yakobo Anaoa

Unaweza kufanya nini ili ukuwe na furaha katika ndoa hata kama kunaweza kutokea magumu yenye haukutazamia?

MAISHA YA MUKRISTO

Tukomalishe Ufundi Wetu wa Kuhubiri​—Kuhubiria Vipofu

Namna gani tunaweza kumuiga Yehova kwa kuonyesha vipofu wa mu eneo letu upendo na kuwahangaikia?