IBADA SAFI YA YEHOVA INARUDISHWA TENA!

“Mbingu Zilifunguka”

Kiswahili (Congo)
“Mbingu Zilifunguka”
https://cms-imgp.jw-cdn.org/img/p/1102017181/univ/art/1102017181_univ_sqr_xl.jpg
rr uku. 28-29

SEHEMU YA KWANZA

“Mbingu Zilifunguka”

“Mbingu Zilifunguka”

EZEKIELI 1:1

WAZO KUBWA: Picha ya makao ya Yehova

Hakuna mwanadamu mwenye anaweza kumuona Yehova, Mungu Mweza-Yote, na kuishi. (Kut. 33:20) Lakini Yehova alipatia Ezekieli maono yenye inaonyesha sehemu ya mbinguni ya tengenezo Lake​—ile maono inatushangaza sana lakini pia inatusaidia tusamini sana pendeleo lenye tuko nalo la kumuabudu Mungu mumoja tu wa kweli.

KATIKA SEHEMU HII

SURA YA 3

“Nilianza Kuona Maono ya Mungu”

Maono ya kwanza ya Ezekieli ilimuacha akiwa amelemewa kabisa. Mambo yenye aliona inaweza kufundisha mambo mingi watumishi waaminifu wa Mungu leo.

SURA YA 4

“Viumbe Vyenye Uzima Vyenye Viko na Nyuso Ine” Ni Nani?

Yehova alipatia Ezekieli maono ya kutusaidia kuelewa mambo yenye hatungeweza kuelewa mu njia ingine.