Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

SEHEMU YA TATU

‘Nitawakusanya Pamoja’​—Ahadi ya Kurudishwa kwa Ibada Safi

‘Nitawakusanya Pamoja’​—Ahadi ya Kurudishwa kwa Ibada Safi

EZEKIELI 20:41

WAZO KUBWA: Maunabii ya Ezekieli inaonyesha kurudishwa kwa ibada safi

Israeli amegawanyika, uasi-imani umevunja umoja wake. Anaendelea kuteseka kwa sababu ya matendo yake; alichafua ibada safi na kuzarau jina la Mungu. Mu hali hii ya kukosa tumaini, Yehova anatuma Ezekieli juu atoe maunabii yenye kuleta tumaini. Kwa kutumia maneno ya mufano yenye kuchochea na maono ya kushangaza, Yehova anatia moyo Waisraeli wahamishwa na pia watu wote wenye wanachunga kwa hamu kuona ibada safi inarudishwa.

KATIKA SEHEMU HII

SURA YA 8

“Nitainua Muchungaji Mumoja”

Kupitia roho yake, Mungu aliongoza Ezekieli aandike unabii juu ya Masiya, Mutawala na Muchungaji mwenye alipaswa kuja, mwenye atarudisha ibada safi mu njia ya kudumu.

SURA YA 9

“Nitawapatia Moyo Wenye Kuunganishwa”

Je, maunabii yenye wahamishwa Wayahudi walipewa kule Babiloni inatimia leo?

SURA YA 10

“Mutaishi Tena”

Ezekieli anapata maono kuhusu bonde lenye kujaa mifupa yenye kukauka yenye inaishi tena. Ile iko na maana gani?

SURA YA 11

“Nimekuweka Kuwa Mulinzi”

Mulinzi huyu iko na mugao na madaraka gani? Anapaswa kutangaza ujumbe gani?

SURA YA 12

“Nitawafanya Kuwa Taifa Moja”

Yehova anaahidi kuunganisha tena watu wake.

SURA YA 13

“Fasiria Hekalu”

Hekalu lenye Ezekieli alionaka mu manono liko na maana gani?

SURA YA 14

“Hii Ndiyo Sheria ya Hekalu”

Inawezekana wahamishwa Wayahudi walipata somo gani mbalimbali mu maono ya Ezekieli ya hekalu? Na ile maono iko na maana gani kwetu leo?