Ibada Safi ya Yehova Inarudishwa Tena!
Kitabu cha Biblia cha Ezekieli kiko na maunabii mingi yenye inazungumuzia kurudishwa kwa ibada safi. Ile maunabii inatuhusu namna gani?
Barua Kutoka ku Baraza Lenye Kuongoza
Tunatumaini kama kitabu hiki kitakusaidia umutolee Yehova ibada safi yenye anastahili kabisa.
Mafasirio ya Sehemu za Pekee za Kitabu Hiki
Visanduku vya kufundishia na michoro ya matukio vinatoa habari za ziada zenye zitakusaidia uelewe mambo muzuri zaidi.
SURA YA 1
“Yehova Mungu Wako Ndiye Unapaswa Kuabudu”
Kwa kuanzisha uasi mu Edeni, Shetani alishambulia haki ya Yehova ya kutawala, na pia alishambulia ibada safi.
SURA YA 2
“Mungu Alikubali” Zawadi Zao
Mufano wenye wanaume wa imani walituachia unaonyesha kama kusudi ibada ikubaliwe inapaswa kutimiza mambo ine ya musingi.
SEHEMU YA 1
“Mbingu Zilifunguka”
SURA YA 3
“Nilianza Kuona Maono ya Mungu”
Maono ya kwanza ya Ezekieli ilimuacha akiwa amelemewa kabisa. Mambo yenye aliona inaweza kufundisha mambo mingi watumishi waaminifu wa Mungu leo.
SURA YA 4
“Viumbe Vyenye Uzima Vyenye Viko na Nyuso Ine” Ni Nani?
Yehova alipatia Ezekieli maono ya kutusaidia kuelewa mambo yenye hatungeweza kuelewa mu njia ingine.
SURA YA 5
“Uone Mambo Maovu, Yenye Kuchukiza Yenye Wanafanya”
Ezekieli anaona hali za kuchukiza zenye zinaonyesha namna taifa lote lilikuwa limeharibika kiroho.
SURA YA 6
“Sasa Mwisho Uko Juu Yako”
Maonyesho ya unabii ya Ezekieli ilionyesha namna Yehova angeleta hukumu yake kali juu ya Yerusalemu.
SURA YA 7
Mataifa “Yatalazimika Kujua Kwamba Mimi Ni Yehova”
Mataifa yenye ilikuwa inasema mubaya juu ya jina la Yehova na kutesa ao kupotosha watu wake haingekosa kupata matokeo ya matendo yao. Uhusiano wenye Israeli alifanya na ile mataifa unaweza kutupatia somo gani?
SURA YA 8
“Nitainua Muchungaji Mumoja”
Kupitia roho yake, Mungu aliongoza Ezekieli aandike unabii juu ya Masiya, Mutawala na Muchungaji mwenye alipaswa kuja, mwenye atarudisha ibada safi mu njia ya kudumu.
SURA YA 9
“Nitawapatia Moyo Wenye Kuunganishwa”
Je, maunabii yenye wahamishwa Wayahudi walipewa kule Babiloni inatimia leo?
SURA YA 10
“Mutaishi Tena”
Ezekieli anapata maono kuhusu bonde lenye kujaa mifupa yenye kukauka yenye inaishi tena. Ile iko na maana gani?
SURA YA 11
“Nimekuweka Kuwa Mulinzi”
Mulinzi huyu iko na mugao na madaraka gani? Anapaswa kutangaza ujumbe gani?
SURA YA 14
“Hii Ndiyo Sheria ya Hekalu”
Inawezekana wahamishwa Wayahudi walipata somo gani mbalimbali mu maono ya Ezekieli ya hekalu? Na ile maono iko na maana gani kwetu leo?
SURA YA 15
“Nitakomesha Ukahaba Wako”
Maelezo kuhusu makahaba mu Ezekieli na Ufunuo inaweza kutufundisha nini?
SURA YA 16
“Utie Alama Kwenye Mapaji ya Nyuso”
Namna watu waaminifu walitiwa alama ya wokovu mu siku za Ezekieli iko na maana kwetu.
SURA YA 17
“Nitapigana na Wewe, Ee Gogu”
Gogu wa Magogu ni nani, na inchi yenye anashambulia ni nini?
SURA YA 18
“Kasirani Yangu Kali Itawaka”
Shambulizi la Gogu litalamusha kasirani ya Yehova, na ile itamuchochea Yehova apiganie watu wake.
SURA YA 19
“Kila Kitu Kitaishi Mahali Kwenye Muto Huo Mudogo Unapita”
Namna gani maono ya Ezekieli ya muto wenye kutiririka kutoka mu hekalu ilitimia wakati wa zamani, namna gani inatimia leo, na namna gani itatimia mu wakati wenye kuja?
SURA YA 20
“Mutagawanya Inchi Kuwa Uriti”
Mu maono, Mungu anaambia Ezekieli na wahamishwa wenzake wagawanye Inchi ya Ahadi mu makabila ya Israeli.
SURA YA 21
“Jina la Muji Huo . . . Litakuwa, Yehova Iko Pale”
Ni somo gani tunapata mu maono ya Ezekieli kuhusu muji na maana ya jina la ile muji?
SURA YA 22
“Abudu Mungu”
Kitabu hiki kimetayarishwa juu ya kutusaidia tuazimie kabisa kumuabudu Yehova Mungu peke yake.
Kifupi cha Miangaza Mipya
Juu ya nini tumebadilisha namna tulikuwa tunaelewa maunabii fulani ya kitabu cha Ezekieli?
KISANDUKU CHA KUFUNDISHIA 1A
Ibada Ni Nini?
Neno ibada linaweza kabisa kufasiriwa namna gani? Namna gani linazungumuziwa mu kitabu cha Ezekieli? Ibada safi inatia ndani nini?
KISANDUKU CHA KUFUNDISHIA 1B
Kifupi cha Habari Zenye Kuwa Katika Ezekieli
Kitabu hiki kinaweza kugawanywa mu sehemu mingi kulingana na namna mambo ilifuatana na kulingana na habari.
KISANDUKU CHA KUFUNDISHIA 2A
Habari za Kujua Ili Kuelewa Maunabii ya Ezekieli
Kitabu hicho kiko na maono, mifano, na maonyesho. Ile yote ni ujumbe wenye uliongozwa na roho ya Mungu wa mambo yenye itakuja.
KISANDUKU CHA KUFUNDISHIA 2B
Ezekieli—Maisha na Wakati Wake
Manabii wengine walikuwa wanatoa unabii wakati ileile ya Ezekieli. Wakati wa maisha yake, kulitokea matukio makubwa mu historia ya watu wake.
KISANDUKU CHA KUFUNDISHIA 3A
Safari Murefu ya Kuenda Babilonia
Ni njia gani yenye pengine wahamishwa walifuata kutoka Yuda kuenda Babiloni?
KISANDUKU CHA KUFUNDISHIA 4A
“Nilikuwa Ninaangalia Viumbe Hivyo Vyenye Uzima”
Ni nini ilifanya tofauti kati ya viumbe ine vyenye Ezekieli aliona mu maono na sanamu kubwa za Ashuru na Babilonia ya zamani?
KISANDUKU CHA KUFUNDISHIA 5A
“Mwana wa Binadamu, Je, Unaona Jambo Hili?”
Ezekieli anaona mambo ine ya kuchukiza mu hekalu na mu kiwanja cha hekalu.
KISANDUKU CHA KUFUNDISHIA 6A
“Nyoa Kichwa Chako na Ndevu Zako”
Mungu aliongoza Ezekieli afanye maonyesho ya unabii ya kuonyesha mambo yenye ilikuwa karibu kutokea mu Yerusalemu.
KISANDUKU CHA KUFUNDISHIA 7A
Mataifa Yenye Kuzunguka Yerusalemu
Yuda na inchi za pembeni-pembeni ilikuwa fasi ya mapigano mingi.
KISANDUKU CHA KUFUNDISHIA 7B
Maneno ya Maana Katika Kitabu cha Ezekieli
Maneno fulani ya pekee inapatikana mara mingi mu kitabu hiki cha unabii.
KISANDUKU CHA KUFUNDISHIA 8A
Unabii Juu ya Masiya—Muti Mukubwa wa Mwerezi
Ile kitendawili yenye kuwa mu sura ya 17 ya kitabu cha Ezekieli iko na maana gani?
KISANDUKU CHA KUFUNDISHIA 8B
Maunabii Tatu Juu ya Masiya
Ezekieli anatabiri kwamba mutawala wa watu wa Mungu mwenye angekuja angekuwa na haki ya kisheria ya kutawala kama muriti wa Mufalme Daudi.
KISANDUKU CHA KUFUNDISHIA 9A
Yehova Anatimizaka Ahadi Zake—Wakati wa Zamani
Mungu anamuongoza Ezekieli atolee Wayahudi wahamishwa ahadi tano kuhusu kukombolewa na kurudishwa kwa ibada safi.
KISANDUKU CHA KUFUNDISHIA 9B
Juu ya Nini 1919?
Juu ya nini tunasema kama watu wa Mungu walikombolewa mu utumwa wa Babiloni Mukubwa mu mwaka wa 1919?
KISANDUKU CHA KUFUNDISHIA 9C
Yehova Anatimizaka Ahadi Zake—Wakati Wetu
Namna gani ahadi fulani za Mungu zilikuwa na utimizo mbili?
KISANDUKU CHA KUFUNDISHIA 9D
Maunabii Kuhusu Utekwa na Kurudishwa kwa Ibada Safi
Maunabii kuhusu utekwa wa Wayahudi mu Babiloni ya zamani ilikuwa na utimizo mukubwa zaidi wakati kutaniko la Kikristo lilikuwa mu utekwa wa Babiloni Mukubwa.
KISANDUKU CHA KUFUNDISHIA 9E
“Wakati wa Kurudishwa kwa Mambo Yote”
Roho ya Mungu iliongoza mutume Petro atabiri kuhusu kipindi chenye kingeanza wakati Kristo angewekwa kuwa Mufalme na chenye kingeendeleea mupaka mwisho wa Utawala wa Miaka Elfu.
KISANDUKU CHA KUFUNDISHIA 10A
Ibada Safi Inarudishwa Hatua kwa Hatua
Ni mabadiliko gani ilifungulia njia kazi yetu ya mahubiri leo?
KISANDUKU CHA KUFUNDISHIA 10B
Kuko Upatano Gani Kati ya “Mifupa Yenye Kukauka” na “Mashahidi Wawili?”
Hii maunabii ilitimia namna gani wakati wetu?
KISANDUKU CHA KUFUNDISHIA 10C
Jambo la Kutusaidia Tusimame Tena kwa Miguu Yetu
Wakati fulani, kwa sababu ya mikazo ya maisha na mahangaiko, tunaweza kujisikia kuwa wenye kulemewa sana na kuchoka. Lakini maono kuhusu mifupa yenye kukauka yenye ilifikia kuishi tena inaweza kutupatia nguvu.
KISANDUKU CHA KUFUNDISHIA 11A
Walinzi Fulani Wenye Ni Mufano Muzuri
Walipata upinzani, walibakia waaminifu kwa Yehova, na walitangaza maonyo na habari njema.
KISANDUKU CHA KUFUNDISHIA 12A
Kuunganishwa kwa Vipande Mbili vya Muti
Vile vipande mbili vya muti vilifananisha nani mu wakati wa zamani na vinafananisha nani mu wakati wetu?
KISANDUKU CHA KUFUNDISHIA 13A
Mahekalu Tofauti, Somo Tofauti
Kuko tofauti gani kati ya hekalu lenye Ezekieli alionaka na hekalu lenye mutume Paulo alizungumuziaka?
KISANDUKU CHA KUFUNDISHIA 14A
Somo Zenye Tunajifunza mu Maono ya Ezekieli ya Hekalu
Ni somo gani zenye tunapata mu maono ya Ezekieli ya hekalu zenye unaweza kutumikisha mu ibada yako?
KISANDUKU CHA KUFUNDISHIA 15A
Dada Makahaba
Maelezo ya Yehova kuhusu Ohola na Oholiba inaonyesha namna gani anajisikia kuhusu wale wenye wanachafua jina lake takatifu na kanuni zake za ibada safi.
KISANDUKU CHA KUFUNDISHIA 16A
Je, Dini Zenye Kujiita Kuwa za Kikristo Zinafananisha Yerusalemu ya Zamani?
Juu ya nini tunabadilisha namna tulikuwa tunaelewa mambo?
KISANDUKU CHA KUFUNDISHIA 16B
Kusumbuka na Kulia kwa Maumivu, Kutiwa Alama, Kuponda-Ponda—Wakati Gani na Namna Gani?
Maono yenye inapatikana mu Ezekieli sura ya 9 inaweza kutusaidia tupambane na mwisho wa mupangilio huu wa mambo bila woga.
KISANDUKU CHA KUFUNDISHIA 18A
Yehova Anaonya Watu Juu ya Vita Kubwa Yenye Iko Inakuja
Biblia inatabiri vita kubwa yenye Mungu atatumia juu ya kuharibu wote wenye kumupinga.
KISANDUKU CHA KUFUNDISHIA 19A
Mito ya Baraka Kutoka kwa Yehova
Waandikaji mingi wa Biblia walitumia pia muto juu ya kuonyesha baraka za Yehova.
KISANDUKU CHA KUFUNDISHIA 19B
Muto Mudogo Unakuwa Muto Mukubwa!
Muto wenye unatiririka kutoka patakatifu pa Mungu unafananisha nini?
KISANDUKU CHA KUFUNDISHIA 20A
Namna Inchi Iligawanywa
Maono ya Ezekieli kuhusu kugawanya inchi ilitia moyo wahamishwa Wayahudi na pia inatia moyo watu wa Mungu leo.
KISANDUKU CHA KUFUNDISHIA 21A
“Muchango Wenye Mutatia Pembeni”
Ni maeneo gani 5 yenye ilifanyiza inchi yenye Mungu alitia pembeni? Ile maeneo ilikuwa na kazi gani?
KISANDUKU CHA KUFUNDISHIA 22A
Jaribu la Mwisho
Ni nini inangojea wale wenye watashinda jaribu la mwisho?

