WIMBO 162

Niko na Lazima ya Yehova

Niko na Lazima ya Yehova

(Matayo 5:3)

  1. 1. Mungu alituumba

    Na hamu ya kujua:

    Juu ya nini tunaishi?

    Tulitoka wapi?

    Miye nilishajua

    Kusudi ya maisha

    Kupitia Neno yake.

    Niko na furaha.

    (REFREE)

    Niko na lazima ya

    Kuongozwa na Yehova.

    Nitajikaza sana

    Kumufurahisha.

    Bila Yehova,

    Niko wa bure.

  2. 2. Kujifunza juu yako

    Kunafanya nikuwe

    Na imani yenye nguvu,

    Juu nisidanganywe.

    Kwa benye kuzarau

    Mafundisho ya kweli,

    Ninaomba bakujue;

    Bapate furaha.

    (REFREE)

    Niko na lazima ya

    Kuongozwa na Yehova.

    Nitajikaza sana

    Kumufurahisha.

    Bila Yehova,

    Niko wa bure.

    Niko na lazima ya

    Kuongozwa na Yehova.

    Nitajikaza sana

    Kumufurahisha.

    Bila Yehova,

    Niko wa bure.

    Niko na lazima ya

    Kuongozwa na Yehova.

    Nitajikaza sana

    Kumufurahisha.

    Bila Yehova,

    Niko wa bure.