WIMBO 162
Niko na Lazima ya Yehova
1. Mungu alituumba
Na hamu ya kujua:
Juu ya nini tunaishi?
Tulitoka wapi?
Miye nilishajua
Kusudi ya maisha
Kupitia Neno yake.
Niko na furaha.
(REFREE)
Niko na lazima ya
Kuongozwa na Yehova.
Nitajikaza sana
Kumufurahisha.
Bila Yehova,
Niko wa bure.
2. Kujifunza juu yako
Kunafanya nikuwe
Na imani yenye nguvu,
Juu nisidanganywe.
Kwa benye kuzarau
Mafundisho ya kweli,
Ninaomba bakujue;
Bapate furaha.
(REFREE)
Niko na lazima ya
Kuongozwa na Yehova.
Nitajikaza sana
Kumufurahisha.
Bila Yehova,
Niko wa bure.
Niko na lazima ya
Kuongozwa na Yehova.
Nitajikaza sana
Kumufurahisha.
Bila Yehova,
Niko wa bure.
Niko na lazima ya
Kuongozwa na Yehova.
Nitajikaza sana
Kumufurahisha.
Bila Yehova,
Niko wa bure.
(Ona pia Zb. 1:1, 2; 112:1; 119:97; Isa. 40:8; Mt. 5:6; 16:24; 2 Tim. 4:4.)

