Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 15-21 Mwezi wa 5

YEREMIA 39-43

Tarehe 15-21 Mwezi wa 5
  • Wimbo 133 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • Yehova Atamulipa Kila Mumoja Kulingana na Matendo Yake”: (Dak. 10)

    • Yer 39:4-7—Sedekia alipatwa na matokeo mabaya kwa sababu alikataa kumutii Yehova (it-2 uku. 1119 fu. 5)

    • Yer 39:15-18—Yehova alimuokoa Ebed-meleki kwa sababu ya kumutegemea (w12 1/5 uku. 31 fu. 5)

    • Yer 40:1-6—Yehova alimuhangaikia Yeremia, mutumishi wake muaminifu (it-2 uku. 387)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Yer 42:1-3; 43:2, 4—Kosa lenye Yohanani alifanya linaweza kutufundisha nini? (w03 1/5 uku. 10 fu. 10)

    • Yer 43:6, 7—Matukio yenye kutajwa katika maandiko haya yanamaanisha nini? (it-1 uku. 471 fu. 1)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini juu ya Yehova?

    • Umepata mali ingine gani ya kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Yer 40:11–41:3

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) Isa 46:10—Fundisha Kweli. Umutayarishe mutu ili kumurudilia.

  • Kumurudilia Mutu: (Isipite dak. 4) Ufu 12:7-9, 12—Fundisha Kweli. Umutayarishe mutu ili kumutembelea tena.

  • Funzo la Biblia: (Isipite dak. 6) bh uku. 153 fu. 19-20—Umualike mwanafunzi kwenye mikutano.

MAISHA YA MUKRISTO