Utangulizi
Unawaza Namna Gani?
Biblia ingali ya maana leo? Biblia yenyewe inasema hivi: “Andiko lote limeongozwa na roho ya Mungu nalo ni lenye faida.”—2 Timotheo 3:16, 17.
Munara wa Mulinzi huu unaonyesha mifano fulani ya hekima yenye kuwa katika Biblia na namna unaweza kufanya ili upate faida wakati unasoma Biblia.

