Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo

Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo

MUNARA WA MULINZI

Ulizo: Malaika wako kabisa?

Andiko: Zab 103:20

Namna ya kutoa: Munara wa Mulinzi huu unaonyesha mambo Biblia inasema kuhusu malaika na mambo wanatimiza leo katika maisha yetu.

FUNDISHA KWELI

Ulizo: Unawaza kama sayansi imepinga Biblia?

Andiko: Isa 40:22

Kweli: Wakati Biblia inazungumuzia mambo ya sanyasi haiseme uongo.

MUALIKO KWA AJILI YA MIKUTANO YA KUTANIKO (inv)

Namna ya kutoa: Napenda kukualika kwenye hotuba yenye kutegemea Biblia. Itatolewa kwenye Jumba la Ufalme, kwenye tunafanyiaka ibada. [Umuachie mutu mualiko, umuonyeshe mahali na saa, na umuambie kichwa cha hotuba.]

Ulizo: Ulishaka fika kwenye Jumba la Ufalme? [Kama inawezekana, umuonyeshe mutu video Kwa Kawaida Tunafanya Nini Kwenye Jumba la Ufalme?]

ANDIKA NAMNA UNAWEZA PIA KUANZISHA MAZUNGUMUZO

Fuata mufano wenye kuwa hapo juu ili kuandika namna yako ya kuanzisha mazungumuzo.