Mashauri ya Yesu inaweza kutusaidia leo?
“Yote yenye munataka watu wawatendee, ninyi pia lazima muwatendee wao.”—Matayo 7:12.
Yesu alitufundisha tena kama
-
Tunaweza kupunguza mahangaiko yetu kama hatuwaze sana juu ya mambo ya kesho.—Matayo 6:34.
-
Tunapaswa kusamehe bengine.—Matayo 6:14, 15.
Angalia drama Habari Njema Juu ya Yesu ku jw.org.

