Kuko mwenye anasikilizaka sala zetu?
“Ee Musikiaji wa sala, watu wa namna zote watakuendea.”—Zaburi 65:2.
Biblia inatuonyesha
-
Namna ya kusali.—Matayo 6:7-13.
-
Kama Mungu anakuwaka nasikiliza sala za kutoka ku moyo.—Matayo 7:7, 8.
Kama unapenda kujua mambo ya mingi, fungula jw.org.

