Inawezekana kuishi milele?
“Wenye haki watariti dunia, na wataishi milele juu yake.”—Zaburi 37:29.
Biblia inasema kama wakati yenye kuya
-
Kila mutu atakuwa na afya ya muzuri sana.—Isaya 33:24; 35:5, 6.
-
Dunia haitachafuliwa tena, itakuwa paradiso.—Isaya 35:1, 2; Ufunuo 11:18.
Kama unapenda kujua mambo ya mingi, fungula jw.org.

