Batu benye balishaka kufa banaweza kuishi tena?
“Saa inakuja yenye wale wote wenye kuwa katika makaburi ya ukumbusho watasikia sauti yake.”—Yohana 5:28, 29.
Biblia inatuhakikishia kama
-
Mungu atafufula wapendwa wetu.—Matendo 24:15.
-
Anapenda kabisa baishi tena.—Yobu 14:13-15.
Kama unapenda kujua mambo ya mingi, fungula jw.org.

